Arusha Leo
Senior Member
- Mar 12, 2012
- 122
- 72
WADAU kampuni ya uwindaji wanyama pori ya Mwiba holding inayomilikiwa na wakili maarufu nchini,Nyaga Mawala ,kwa mara nyingine askari wake wamempiga risasi mfugaji na kumtupa porini ,hii ni mara ya tatu kulalamikiwa ,sasa kwanini serikali isimbane ama kwa vile ni wakili,hakuna hatua zinazochukuliwa.