la Jeneral
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 392
- 57
chunga tamaa mbayaa,tuliza moyo wakooo,raisisha matumiz yakooooo.....rejea 20%,wadhungu wanasema cheap is expensive
mambo vp jf, bila kupoteza wakati niingie kwenye mada. Kuna mama moja anadai ananipenda sana na mm kimtazamo ni kweli ananipenda kwani kuna mambo mengi amenisaidia katika maisha,huyu mama kila kukicha ananilazimisha nile naye tunda namimi siko tayari kwa sababu nahofia maisha yangu, mama ana hela ndefu sasa cjui nifanyeje jamani! Ushauri tafadhali.
mambo vp jf, bila kupoteza wakati niingie kwenye mada. Kuna mama moja anadai ananipenda sana na mm kimtazamo ni kweli ananipenda kwani kuna mambo mengi amenisaidia katika maisha,huyu mama kila kukicha ananilazimisha nile naye tunda namimi siko tayari kwa sababu nahofia maisha yangu, mama ana hela ndefu sasa cjui nifanyeje jamani! Ushauri tafadhali.
sasa mbona unaniponda kiaina mr/mrs?
Inavyoonyesha unampenda huyo mama kwa sababu ya pesa na si vinginevyo.Tafuta vyako usipende kulelewa na majimama na hali una nguvu zako, ukiona vinaelea ujue vimeundwa.
Acha kutuzuga, amekusaidia, ana hela ndefu. Je hiyo misaada ulikubali ya nini? Kama amekusaidia wewe unashindwa nini kumsaidia hicho unachotaka. Acha ukongoman kaka, unakula vya watu kubali kuliwa na wewe.
Ni kweli ,mapenzi haya ulikuwa hujayaona sababu kuu ni kuwa ulikuwa Mtoto ndio unakuwa sasa utayaona mengi, ukisikia unaambiwa kuwa uyaone, sio kuona magorofa yanayojengwa aaaa ni kuyaona mambo ya walimwengu.