Muuzaji wa kiwanja anakueleza kuwa ni "heka" 1 (naamini anamaanisha eka (acre)1. Ukifika eneo lenyewe ni kama mita za mraba 1000 tu wakati eka ni takriban mita za mraba 4000. Hali kama hii imenitokea kama mara 6 hapa jijini DSM.
Je! Ni wanakosea au ni mazingira haya wanaamini kuwa eka ndio ukubwa huo?
Nawasilisha