Ndio maana mnapiga kelele kila chaguzi kuwa mnaonewa kwakuwa mikutano yenu inapata wahudhuriaji wengi mnafikiria kujaza sana watu katika mikutano ya kampeni ndio kukubalika,
wale ulio waona pale Dodoma ndio wanachama halisi watakao piga kura, kila mkutano wa ccm ujue asilimia 80 hadi 90 niwanachama halisi na wanakadi za kura, kampeni za ccm huanzia katika uandikishaji wa daftari la wapiga kura,kila mjumbe anawajibika kupita kwa kila mwanachama na kuhakikisha amejiandikisha na kadi anaikagua mjumbe,
wapinzani mnategemea kuwa wakati wa kampeni ndio ushawishi watu wakupigie na wanaojaa katika kampeni zenu niwale wasio jiandikisha na wale wa ccm wanaokuja kuwasanifu tu,na wachache waliojiandikisha mnagawana kura cuf,chadema,nccr,tlp ,nk
kazi mnayo