Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,518
- 8,583
...siku hizi ccm wamewazowesha watu tabia mbaya sana...kiasi imefikia watu hawaendi tena kwenye mikutano ya ccm kwa bashasha na kujituma kama enzi za nyuma ..... siku hizi wanataka wakienda wapewe pesa...za "usafiri"....na sijui hiyo tabia ataiponya nani......
Ni tofauti kabisa na mikutano ya vyama vya upinzani ambapo watu waanaenda bila kutaka chochote..na hata wakifika wanachangia senti zao.....nitamchangaa sana mtu ambaye ataweza kulinganisha umati wa ccm na wapinzani...umati wa mikutano wa ccm watu wapo pale kikazi tu!!!.........kwa ujira wa tzs 5,000 na fulana....nadhani karibu watanzania watakuwa wajanja kuweza kuchukua hizo pesa na kura wasiwape.....sema wapiga kura hasa kinamama wana nidhamu ya ahadi kiasi akishakula pesa za balozi wake na vitenge vya WAMA...anaamini ccm ikishindwa kwenye mtaa wao basi ....anatishiwa kuwa atadaiwa....
Ni tofauti kabisa na mikutano ya vyama vya upinzani ambapo watu waanaenda bila kutaka chochote..na hata wakifika wanachangia senti zao.....nitamchangaa sana mtu ambaye ataweza kulinganisha umati wa ccm na wapinzani...umati wa mikutano wa ccm watu wapo pale kikazi tu!!!.........kwa ujira wa tzs 5,000 na fulana....nadhani karibu watanzania watakuwa wajanja kuweza kuchukua hizo pesa na kura wasiwape.....sema wapiga kura hasa kinamama wana nidhamu ya ahadi kiasi akishakula pesa za balozi wake na vitenge vya WAMA...anaamini ccm ikishindwa kwenye mtaa wao basi ....anatishiwa kuwa atadaiwa....