Jamani duniani kuna mambo!! Hii imenitokea

Baadae utatembea na wafanyakazi wote kwenye hiyo kampuni na ukimega kidosho cha bossi kazi huna

Huo ni ushauri bora kabisa, kwani kuwa na mahusiano na mtu hadharani ni tatizo? Labda kama mnawatu wenu wengine. Kama hakuna uhusiano wowote na mtu mwingine mwache apayuke kwani ajabu. Halafu chunguza nyendo za huyo rafiki yako, pengine wanamchezo mchafu..
 
ningesema kuna mzuzu unautumia kuwapata hao wanawake but labda unawakamua vizuri..HONGERA..we wachape wote tu mradi unatumia ndomu!!
 
kaka, achana na wote. ukimmega na huyo wa pili atamsimulia wa kwanza. af utaanzisha bifu kati yao, mpaka bosi wenu atajua na ndo ushakosa kupanda cheo. (boss gani anapenda wafanyakazi wazinifu?). huyo wa kwanza usimwambie kuwa unamtosa, we kausha kiaina na uwe bize na mambo yako.
 
inawezekana wewe ni muhongaji mzuri kwa hyo wameambiana wakuchune wakija waimbie ule wimbo wa chop my money.
 
Achana na wote wawili kama wameshakutongoza na kumpa mmoja wao, watakuja lukuki hapo ofisini.
Kuwa makini lakini maana ukimwi waua!!
 
Kandamiza, eboooo. demu anakuja halafu unadengua!!! wahenga hawakukosea waliposema, kwenye miti.....
 
Huo ni ushauri bora kabisa, kwani kuwa na mahusiano na mtu hadharani ni tatizo? Labda kama mnawatu wenu wengine. Kama hakuna uhusiano wowote na mtu mwingine mwache apayuke kwani ajabu. Halafu chunguza nyendo za huyo rafiki yako, pengine wanamchezo mchafu..

Kuwachanganya changanya watu kwenye taasisi au kampuni moja sio vizuri kazi huwa zinaharibika hivi hivi
 
Ningekuwa wewe ningewachapa woote . Tena Huyo wa huyo angekupa kila siku ukitaka maana u hold tha ace. Hatathubutu kumhadithia wa kwanza wala rafiki yake mwingine maana akifanya hivyo ataogopa utapewa kama alivyokupa wewe. ndiommabo ya mujini.
 
Tatizo nini kijana? Wa kwanza alikuwa mwanamke na wa pili ni mwanamke wala hujatwambia tatizo lake. Kama ulifanya mchezo kwa mwengine basi endeleza na kwa huyu na akija mwengine pia. Tatizo ni pale watakapoanza kutowa masharti kwahuduma yako! Kama si hivyo jiangalie uwezo wako wa kuwahudumia basi.
 
Inawezekana mwanzisha mada anazungumzia shule na sio kazini.
Anawazungumzia wanafunzi wenziwe na sio wafanyakazi wenziwe.
Itakuwa ni typing errors tuu.
 
Habari zenu wanajukwaa,
Kuna rafiki yangu wa kike ambaye nafanya naye kazi katika kampuni moja hapa jijini ametokea kunipenda ghafla, japo sikuwahi kufikiria kama siku moja angetokea kunipenda maana namheshimu. Ilianza hivi, aliniomba namba ya simu nikidhani ni kwa nia nzuri ya mawasiliano hapa kazini,baadaye akanitafuta facebook. Ikafika hatua akanifahamisha anapoishi na siku moja akaniomba nimpitie. Nilipofika, akanisalimia kwa uchangamfu, then akanikumbatia akawa hataki kuniachia. Akaanza kunifnyia vituko vingi vya kunipagawisha nikiwa nimepigwa butwaa. Mwisho wa yote akaingia chumbani akaja na condom, akavua nguo mbele yangu huku akiwa amefunga mlango na kuutoa ufunguo na tukadoo ile kitu.

baada ya pale akanisihi sana mapenzi yetu yawe ya siri sana tusimwambie mtu. Baada ya wiki mbili, shosti yake anayefanya naye ofisi moja (section moja) akaanza kunichangamkia kupita kawaida. Akaanza kunipigia simu, mara facebook, mara msg etc. Alipoona mimi sishtuki akawa anakuja ofisini kwangu na kujiachia achia sana. mwishowe akaamua kusema lililo moyoni mwake kuwa ananitaka tuwe wapenzi. Nikasita kwa sababu najua ana mtu wake tena amezaa naye. Akasema hiyo siyo sababu, anachotaka penzi langu.

Nilipobisha akaniambia mbona wengine nawapa, kwa nini nimnyanyapae yeye? Nikashtuka kuliko kawaida. Nikawa mpole nikaanza kumpeleleza akasema umetembea na mwanamke gani hapa kazini? Nikagundua kitu. Nikamwambia mtaje akagoma. Nikamtishia kiaina, baadaye akasema, "Umetembea na ........ unabisha?" Nikawa kama vile nimenyeshewa na mvua. Nikamwuliza umejuaje? akasema mwenyewe kanisimulia tena kwa mbwembwe, sasa wewe unaninyima nini?

Kwa ufupi, nimechanganyikiwa najuta na roho inaniuma, nawaza nianze wapi kuliondoa hilo sooo? Nikimtolea nje huyu shosti mtu sijui atanifanyia nini, lakini na yeye pia amenisihi nisimwambie kama yeye ndo kaniambiaa hiyo habari. Pili najiuliza huyu shosti mtu anataka nini kwangu, ananijaribu tuu? au mwenzake alinisifia kwake na yeye anataka kuonja muziki wangu? Na je nikimkatalia itakuwaje? Nikiwaza kumgombeza yule wa kwanza naona ndo nitakuwa nimeharibu kabisa maana wataanzishiana bifu wenyewe kwa wenyewe, na pia kwangu.

Hebu nipeni ushauri jamani



Funga zip yako!
 
Back
Top Bottom