Maana yake ni kwamba Mara nyingi tukishindwa kwenye jambo flani hususani kwenye mambo ya mahusiano tunapenda kujipa moyo kwa kutumia hii kauli ya hujui mungu kakuepusha na nini.
Mbona mambo yakiwa swadakta hatujiulizi
Kwasababu huyo ndio atasaidiana naye mbele ya safari kwasabu anampenda, na wewe komaa na mpenzi wako vile toka lini umeona mtu ucheze YanGa halafu uje ulipwe na Simba.
Kwasababu huyo ndio atasaidiana naye mbele ya safari kwasabu anampenda, na wewe komaa na mpenzi wako vile toka lini umeona mtu ucheze YanGa halafu uje ulipwe na Simba.