Jamani, Dr. Ulimboka yuko wapi siku hizi?

Mwache baba wa watu apumzike

Aliyoyapata Mungu ndo ajuaye
 
Kitaani wanadai kuwa keshapigwa 'kufuli' yuko Uingereza anakula maisha na familia yake. Sijui kama ni kweli au laa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…