Huyu jamaa katili Sana, Wana CCM wenzangu Bora Jimbo analogombea liende upinzani. Huyu Ighondu ni zaidi ya ibilisi.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Yuko wapi huyu mwamba?
Halafu madaktari wote wakanywea. Hakuna watu waoga Tanzania kama madktari na waalimu. Wamesoma ila hawaelimika. Hawajui hata haki zao.maana kwa hali ilivyo inaonekana kbsa serikali ya wakati huo iliratibu huu utekaji wa Ulimboka
Daaa..... Aisee.... Nakumbuka mwanahalisi waliweka ushahidi mwingi sana wa majina ya watu namba za magari na namba za simu lkn hakuna aliyekamatwa hata mmoja..... 🤔🤔Watu wanamuona kwenye fukwe za DSM akifanya mazoezi ila mimi sijawahi muona
Naomba nitajie watu,kada isiyo na waoga. Ugavi,? Wahasibu? Polisi ? Afisa misitu,? Watendaji? Mabwana shamba? WakulimaKumbu kumbu yangu inaniambia kada ya daktari na walimu na wafanyabiashara,madereva ndio wamewahi kugoma Tanzania kama kuna kada nyingine itaje hapa.Halafu madaktari wote wakanywea. Hakuna watu waoga Tanzania kama madktari na waalimu. Wamesoma ila hawaelimika. Hawajui hata haki zao.
Wakati wa kipindi cha Corona kuna waalimu walikuwa wanaenda kuripoti kazini kila siku, wanasaini wanaondoka wakati shule zimefunga.
Huu ni utumwa mbaya sana.
Kada ipi ambao sio waoga?Halafu madaktari wote wakanywea. Hakuna watu waoga Tanzania kama madktari na waalimu. Wamesoma ila hawaelimika. Hawajui hata haki zao.
Wakati wa kipindi cha Corona kuna waalimu walikuwa wanaenda kuripoti kazini kila siku, wanasaini wanaondoka wakati shule zimefunga.
Huu ni utumwa mbaya sana.
Waliowahi kugoma ni WALIMU, MADAKTARI NA MADEREVA WA DALADALA SIO WA SERIKALI. Hakuna kada nyingine nje ya hizoHalafu madaktari wote wakanywea. Hakuna watu waoga Tanzania kama madktari na waalimu. Wamesoma ila hawaelimika. Hawajui hata haki zao.
Wakati wa kipindi cha Corona kuna waalimu walikuwa wanaenda kuripoti kazini kila siku, wanasaini wanaondoka wakati shule zimefunga.
Huu ni utumwa mbaya sana.
Ngara analima mihogo.Hivi Kabendera naye yupo wapi?