Jamani Bungeni hamna kitu ebu oneni hili

Mess

JF-Expert Member
Mar 2, 2009
661
181
Naibu waziri wa kazi Mheshimiwa Makongoro kaulizwa swali kuwa, kwa kuwa wastaafu wanaishi katika maisha magumu na pengine hufa mapema serikali inaonaje kama itawalipa wastaafu kila mwezi katika rate ambazo zinaendana na maisha ya sasa kulingana na nyazifa zao wakati wa kustaafu.
Jibu La Makongoro: Swali hili halina mantiki na hakuna sababu ya kumlipa mfanyakazi posho nyingine.

Sasa hapa sijui kama kajibu swali au hakuelewa na spika naye hakuweza kumwambia kuwa hakujibu swali sasa hapo kwa kanuni za bunge sijui au ndo imetoka hiyo?
 
Naibu waziri wa kazi Mheshimiwa Makongoro kaulizwa swali kuwa, kwa kuwa wastaafu wanaishi katika maisha magumu na pengine hufa mapema serikali inaonaje kama itawalipa wastaafu kila mwezi katika rate ambazo zinaendana na maisha ya sasa kulingana na nyazifa zao wakati wa kustaafu.
Jibu La Makongoro: Swali hili halina mantiki na hakuna sababu ya kumlipa mfanyakazi posho nyingine.

Sasa hapa sijui kama kajibu swali au hakuelewa na spika naye hakuweza kumwambia kuwa hakujibu swali sasa hapo kwa kanuni za bunge sijui au ndo imetoka hiyo?

Mkuu hapo kwenye red kwani Bunge la JMT lina spika?
 
Mkuu napata shida kdg ktk hili yaonekana kabisa ubongo wa spika hautofautiani na wa makongoro coz hamna analysis wapowapo tu ndo maana bunge linapoteza mvuto!!!
Bunge la spika Makinga halina mvuto kabisa!!!! kila kitu ni kucrash tu!! yeye alitaka wastaafu walipwe kiwango kutokana na gharama za maisha ilivyopanda sasa yeye anajibu hakuna kitu kama hicho mh inashangaza sana.
 
tuvumilie tu ndio spika tuliyepewa na mafisadi sasa tutafanyaje.... yeye yupo pale kuwabana wapinzani ccm wala hana mpango nao hata wongee utumbo vipi. ingekuwa spika anaweza kutolewa madarakani na wananchi basi movement ya kumtoa ingekuwa imeshaanza muda mrefu but ni wabunge ndio wenye uwezo wa kumtoa spika
 
Mkuu hapo kwenye red kwani Bunge la JMT lina spika?
<BR><BR>

Si ndicho walichokuwa wanakipigania mafisadi wakiongozwa na mapacha watatu? Halafu leo tukisema watatu hawa hawafai, wanaibuka wapagazi wanaojaribu kuuliza maswali ya kibwege. Eti Oh! kosa la Lowassa ni nini?&nbsp; Ndo wanaofikiri kwa kutumia makwapa hao!
 
Kwahili tatizo sio spika, tatizo ni Makongoro ambaye ameulizwa swali la maana ye amejibu pumba!..
 
tuvumilie tu ndio spika tuliyepewa na mafisadi sasa tutafanyaje.... yeye yupo pale kuwabana wapinzani ccm wala hana mpango nao hata wongee utumbo vipi. ingekuwa spika anaweza kutolewa madarakani na wananchi basi movement ya kumtoa ingekuwa imeshaanza muda mrefu but ni wabunge ndio wenye uwezo wa kumtoa spika

Ndo wanamuita Bi Kiroboto?
 
Nchi hii haina viongozi,wote wasanii,wajinga,walevi wa madaraka,mazuzu ambao wapo kwa maslahi yao binafsi.Mie sina rais wala makamu,wala mawaziri,wala spika,wote ni wajinga tu.
 
Kazi kweli kweli, huwa anaangalia nn CDM watauliza ili azime, sss akiona ni CCm wanasema kama anasinzia yaani
ni malaika hakuna kuangalia kanuni. Kumbuka jana wakati wanapitisha Budjet ya wizara ya fedha CCm walikuwa
wanaingilia na kuchomekea vijembe kibao, shangili ilikuwa ya kihuni sana, ila Bi kiroboto hakusema neno kabisa njoa CDM
ss waanze wanaambia hawana Adabu. Atakoma ngoja tu kampeni tutaanza na jimbo lake labda astaafu kama pinda na membe.
 
TUVUMILIENI JAMANI TUMEBAKIZA MIAKA MIWILI YA KULA NA KUNYWA TUKISHA SHIBA TUTAWAACHIA MUENDELEE WAJAMEni
 
Naibu waziri wa kazi Mheshimiwa Makongoro kaulizwa swali kuwa, kwa kuwa wastaafu wanaishi katika maisha magumu na pengine hufa mapema serikali inaonaje kama itawalipa wastaafu kila mwezi katika rate ambazo zinaendana na maisha ya sasa kulingana na nyazifa zao wakati wa kustaafu.
Jibu La Makongoro: Swali hili halina mantiki na hakuna sababu ya kumlipa mfanyakazi posho nyingine.

Sasa hapa sijui kama kajibu swali au hakuelewa na spika naye hakuweza kumwambia kuwa hakujibu swali sasa hapo kwa kanuni za bunge sijui au ndo imetoka hiyo?

Wamejaa mzaha kwa watanzania , tumeiona jibu 2015,
 
Back
Top Bottom