R Retired JF-Expert Member Joined Jul 22, 2016 Posts 50,290 Reaction score 96,517 Jan 3, 2026 #1 Kuna lolote kinaendelea ICC au ndiyo imetoka hiyo! Mwenye fununu atufunulie
Lord Denning JF-Expert Member Joined Jun 3, 2015 Posts 23,494 Reaction score 57,871 Jan 3, 2026 #2 Chakula kinaiva vizuri sana. We tulia tu mwaka wa ushindi kwa wapenda mabadiliko ni huu.
TUJITEGEMEE Platinum Member Joined Nov 6, 2010 Posts 27,297 Reaction score 28,006 Jan 3, 2026 #3 Hata mwaka 2026. Narudia. Tuimalize matatizo yetu wenyewe. ICC ni vurugu zaidi tunamkaribisha. Haya mambo yetu hayajatushinda!!!
Hata mwaka 2026. Narudia. Tuimalize matatizo yetu wenyewe. ICC ni vurugu zaidi tunamkaribisha. Haya mambo yetu hayajatushinda!!!
CHIEF PRIEST JF-Expert Member Joined Dec 13, 2021 Posts 18,337 Reaction score 34,611 Jan 3, 2026 #4 Retired said: Kuna lolote kinaendelea ICC au ndiyo imetoka hiyo! Mwenye fununu atufunulie Click to expand... Jinai haifi mkuu huyu lazima waruke naye tu, arrest warrant inatoka soon.
Retired said: Kuna lolote kinaendelea ICC au ndiyo imetoka hiyo! Mwenye fununu atufunulie Click to expand... Jinai haifi mkuu huyu lazima waruke naye tu, arrest warrant inatoka soon.
T Twoten JF-Expert Member Joined May 4, 2014 Posts 2,587 Reaction score 2,921 Jan 3, 2026 #5 Nimedokezwa mwezi wa pili mwaka huu ataitwa kusomewa mashitaka kenge wenu