Jamani, angalie Rais Samia alivyotuna

Jamani, angalie Rais Samia alivyotuna

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,697
Reaction score
59,202
Ni kweli ni wakati wake kutuna. Atulie ale lakini asitumalizie Watoto wetu.

Sababu hapo alipo ni miaka michache. Baadaya hapo atakuwa si lolote si chochote.

Uzuri wa mali hata ujaze hela unakufa na kuziacha.

Urais unakuwa wa maana ukiambatana na kulinda uhai wa unaowatala.

Bado namtafuta Mdude. Naamini Rais atamuachia huru.
20251023_085402.jpg
 
hahaha amiri jeshi mkuu kapaka rangi kucha, hizi dini bhana baadhi ya watu wanaziponda lkn zinasema ukweli kama ukifikiria sana, watu wa dini wanajua mengi sana, kuna sababu kwa nini dunia nzima kihistoria wanawake hawakuwa drafted jeshini, hata vitani international law inakataza kushoot wanawake na watoto, kuna sababu …
 
Back
Top Bottom