figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 26,697
- 59,202
Ni kweli ni wakati wake kutuna. Atulie ale lakini asitumalizie Watoto wetu.
Sababu hapo alipo ni miaka michache. Baadaya hapo atakuwa si lolote si chochote.
Uzuri wa mali hata ujaze hela unakufa na kuziacha.
Urais unakuwa wa maana ukiambatana na kulinda uhai wa unaowatala.
Bado namtafuta Mdude. Naamini Rais atamuachia huru.
Sababu hapo alipo ni miaka michache. Baadaya hapo atakuwa si lolote si chochote.
Uzuri wa mali hata ujaze hela unakufa na kuziacha.
Urais unakuwa wa maana ukiambatana na kulinda uhai wa unaowatala.
Bado namtafuta Mdude. Naamini Rais atamuachia huru.