Jaman shem wangu ananitaka mapenzi wana JF nifanyeje

Jaman shem wangu ananitaka mapenzi wana JF nifanyeje

kwanza we wakike au wakiume. hebu jitambulishe vzr, kisha toa uzi wako kwaundani.
 
mbona kama ushamkubalia...? kwa jinsi unavyoaandika tu...sometimes tunavunja mahusiano yetu kwa vitu vidogo sana
 
Mkubalie na wewe uliwe mrembo mchanganywe nyie wote wawili wewe na dada yako.
 
Mambo mengine muwe mnaongea na wazee wenu
kama vipi mpige tu ukitoka mfate hadi mzazi wake piga ukoo wote ili uitwe paka mapepekweli unashindwa kutumia akili yako ya kuzaliwa kutatua jambo hadi JF
Jaman shem wng anani maind mapenzi nifanyeje niepukanenae?
 
Tukikuambia uende ukafanye nae ngono utaenda?

Kama huna jibu la kinachokusibu huna maana kabisa ...!!!!!!!!!!
 
Mambo mengine muwe mnaongea na wazee wenu
kama vipi mpige tu ukitoka mfate hadi mzazi wake piga ukoo wote ili uitwe paka mapepekweli unashindwa kutumia akili yako ya kuzaliwa kutatua jambo hadi JF

Ndio hapo na mimi najiuliza hili ..!!!!!!!!!!!
Watu wamekuwa wa hovyo sana siku hizi ..!!!!!!!!!
 
Mkubalie maana waonekana mlaini wewee
Hovyoooooooooioo
 
worst case scenario; jamaa ni wakiume na anatakwa na mume wa dada yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom