ndauliiiii!!!
ktk maisha yangu nlbahatka kktana na kjana miaka 3 ilopita tkashndana coz alkua n mnywaj (c mlev) thn m nkaja zangu chuo by th tym nlkua cngle tu.Kmbka nlshskua na friend b4 thn nkaona ka mbabaishaj iv nkamweka kando,
Nkiwa first yr friend akarud kwa kas mpya mwee ktanda hakzai haram, nkakbeba for th first date tym kwel nkatnza na kabnt nw n kakbwa tuu
Sasa yle mpenz kard ameacha knywa na anajua nna mtoto bt he z ready to take responcblty
put on mynd kwamba baba mtoto ypo ila sss mh ye care yake iko kwa mtoto tu na hayo mtunzo tu ktoa n hekaheka wakat mwngne hyu yko serriouz ad kwao wananfaham na ass if m ad nashndwa kuelewa
ckuwah kjuta kzaa bt hwa nnajuuta kzaa na hyu nlozaa nae...
nfanyj niolewe na tuu na hyuu
MHHHHHHHHHHHHH!!!!!!!!!!
Ukiwa single mom inabidi uwe very smart kichwani! Usipojiangalia UTATUMIKA SANAAAAAAAAAA kwa janja yao ya kujifanya kumkubali mtoto kumbe wataka urojo wa bureeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!
I dont know! Mimi nachokushauri as a single mom toa priority kwenye kuenjoy na kujinafasi na new love utaerizika nae. Ukiweka priority kwenye ndoa itakuumiza sana endapo hio ndoa ikichelewa!
Ni hayo tu!
utakoma na huo aundishish wako, na bado wataendelea kula hiyo pusupusu mpaka ujue kuandika. Ila sahau kuolewa, yaani mwanume anayeoa mtu aliyezaa ananikera kupita meelezo, yaani kubikiri ukose na hata kuzalisha uwe wa pili? aaaah!
utakoma na huo aundishish wako, na bado wataendelea kula hiyo pusupusu mpaka ujue kuandika. Ila sahau kuolewa, yaani mwanume anayeoa mtu aliyezaa ananikera kupita meelezo, yaani kubikiri ukose na hata kuzalisha uwe wa pili? aaaah!
You have shown the great chance of maturity!! JUKUMU neno rahisi sana la kukwambia asubuhi hii ni hili hapa """"""hata wewe, mama yako ulichukuliwa mimba hatiani"""""kaka yani umeenda mbali kwelii kiongozi...naomba uwaombe radhi kina mama waliowahi kuzalishwa kwani wengi wao uelewa na ufahamu juu ya masuala ya ngono ulikuwa mdogo au sifuri kabisa...na kumbuka wengine walibakwa wakitoka kisimani kuteka maji na mimba ikaingia wakiwa std 7... Kosa lao lipi hapo?
Imagine ni dadako alizalishwa ile anamaliza la 7...leo asiolewe kisa alizaa na kwa akili za kitoto au hata kubakwa?...wapewe nafasi ya pili kurekebisha makosa waliyofanya katika umri mdogo au hata kwa matendo ya kiharamia ya wanaume watu wazima kama mimi na wewe.
they deserve a second chance to correct their mistakes...at least am the one to care on this.
Hicho kifaa ulichotumia kuandika huu uzi kina kigugumizi au kikohozi?
Hicho kifaa ulichotumia kuandika huu uzi kina kigugumizi au kikohozi?
Walewale tena,dooooohMwenzenu cjamwelewa..au cjui kusoma..?