...ngoja nivae mawani labda ntaambulia mistari angalau miwili...
Sio mawani ni miwani ...kazi kulaumu tu wakati nyie wenyewe sifuri.
...ngoja nivae mawani labda ntaambulia mistari angalau miwili...
We hizi status weka FB kwenye type yako!!uandishi gani huu hueleweki ulizani ukiandika hivi tutajua wewe ni wa mjini wakati mburula!!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
ndauliiiii!!!
ktk maisha yangu nlbahatka kktana na kjana miaka 3 ilopita tkashndana coz alkua n mnywaj (c mlev) thn m nkaja zangu chuo by th tym nlkua cngle tu.Kmbka nlshskua na friend b4 thn nkaona ka mbabaishaj iv nkamweka kando,
Nkiwa first yr friend akarud kwa kas mpya mwee ktanda hakzai haram, nkakbeba for th first date tym kwel nkatnza na kabnt nw n kakbwa tuu
Sasa yle mpenz kard ameacha knywa na anajua nna mtoto bt he z ready to take responcblty
put on mynd kwamba baba mtoto ypo ila sss mh ye care yake iko kwa mtoto tu na hayo mtunzo tu ktoa n hekaheka wakat mwngne hyu yko serriouz ad kwao wananfaham na ass if m ad nashndwa kuelewa
ckuwah kjuta kzaa bt hwa nnajuuta kzaa na hyu nlozaa nae...
nfanyj niolewe na tuu na hyuu
m cew kbd we poo tu engt wdofcmk fwcn wqocsan wwdhvccva c efak'a umeelewa
Sio mawani ni miwani ...kazi kulaumu tu wakati nyie wenyewe sifuri.
Jamani aliyeelewa naomba anieleweshe, nina hamu ya kuchangia ila sielewi atiii
Wabongo kwa kukosoa wenzenu lol,,....kipi kisichoeleweka hapo?
kaka umenibariki sana leo!utakoma na huo aundishish wako, na bado wataendelea kula hiyo pusupusu mpaka ujue kuandika. Ila sahau kuolewa, yaani mwanume anayeoa mtu aliyezaa ananikera kupita meelezo, yaani kubikiri ukose na hata kuzalisha uwe wa pili? aaaah!
Kwa uandishi wako huo wataacha kweli kukuchezea??? si bure ulivyosema uko katika dilema... maana unaonekana hujatulia....haraka haraka utadhani unaogopa kufumaniwa??
Tulia bnti, eleza vizuri jambo lako ili upate msaada kuendana na unachohitaji otherwise...
^^
Samahani Mkuu! Unamjua Heaven on earth ?
Aliniambiaga eti ID zenu huwa zinafanana kama bendera ya Taifa.
^^