Jaman hivi huyu mwanamke ni vipi?

Jaman hivi huyu mwanamke ni vipi?

Galadudu

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2014
Posts
2,304
Reaction score
780
Leo nimejitahid kurudi mapema home kama saa saba hivi ucku huu, tena kwa msisitizo nikapitia kwny ka fast food flan nikachukua ka chips na ka kuku nusu ili kumfanyia suprise.........heeeeeeee......nilipofika home nikampa, halafu akaniuliza:- kwa hiyo alivyobakiza hawara yako ndo umeniletea......!!!!

Najiuliza nikavitupe au nipeleke wapi jamani.
 
Hahahaaa dah wanawake acheni maneno hayo mtu hana kidum lakn utamchokonoa na maneno maneno mpk akitafute icho kidum km hana! .pole mleta mada chukua chps zako unletee 🙄
 
Leo nimejitahid kurudi mapema home kama saa saba hivi ucku huu, tena kwa msisitizo nikapitia kwny ka fast food flan nikachukua ka chips na ka kuku nusu ili kumfanyia suprise.........heeeeeeee......nilipofika home nikampa, halafu akaniuliza:- kwa hiyo alivyobakiza hawara yako ndo umeniletea......!!!!

Najiuliza nikavitupe au nipeleke wapi jamani.

Acha upuuzi kurudi usiku nisifa wewe nimjinga wa mwisho
 
Acha upuuzi kurudi usiku nisifa wewe nimjinga wa mwisho

We ni mjanja wa kwanza kurudi mapema........usipende kudandia mada kama hautaki kuichangia ndugu haujalazimishwa
 
We ni mjanja wa kwanza kurudi mapema........usipende kudandia mada kama hautaki kuichangia ndugu haujalazimishwa

Acha upuuzi wanaume atusifiwi kurudi usiku na wala sio ujanja niushamba
 
Vyovyote vile wewe nimshamba unaulimbukeni

m*k*u*n*d*u unakuwasha wewe na unatamani kupigwa shafti, kama ujanja ingekuwa ni kurudi mapema home saa hizi we ungekuwa ushalalwa, huwa sibishani na gasho mimi pita na t**o lako huko
 
m*k*u*n*d*u unakuwasha wewe na unatamani kupigwa shafti, kama ujanja ingekuwa ni kurudi mapema home saa hizi we ungekuwa ushalalwa, huwa sibishani na gasho mimi pita na t**o lako huko

Poa ila wewe nikati ya wanaume waseng...... huwezi kufanya kitu bila kuhadithia wengine hizi huwa nitabia za mashoga pole hii nikutokana na maumbile yako uliyozaliwa nayo.
Pole kwakuwa uko na mwanamke mwenzio naye anafahamu ndiyo maana anakoroma ila ukienda kwa madr watakusaidia waseng... wenzio wamesaidiwa
 
Poa ila wewe nikati ya wanaume waseng...... huwezi kufanya kitu bila kuhadithia wengine hizi huwa nitabia za mashoga pole hii nikutokana na maumbile yako uliyozaliwa nayo.
Pole kwakuwa uko na mwanamke mwenzio naye anafahamu ndiyo maana anakoroma ila ukienda kwa madr watakusaidia waseng... wenzio wamesaidiwa

Mashoga huwa hawaalikwi, wanakkuja wenyewe na kuanza kujibinuabinua mbele ya mabasha,haukuitwa hapa sasa nashangaa kinachokuwasha ni nn na huo mkuu.....ndu wako unaonuka
 
Leo nimejitahid kurudi mapema home kama saa saba hivi ucku huu, tena kwa msisitizo nikapitia kwny ka fast food flan nikachukua ka chips na ka kuku nusu ili kumfanyia suprise.........heeeeeeee......nilipofika home nikampa, halafu akaniuliza:- kwa hiyo alivyobakiza hawara yako ndo umeniletea......!!!!

Najiuliza nikavitupe au nipeleke wapi jamani.

Mbembeleze Siunajua mwanamke anataka kubembelezwa? Muelewesha atakuelewa aloyasema kasema kwa hasira sababu anakupenda ....
 
hehehe...loh mwanamke ana gubu huyo utafikiri ndugu wa mume..cha muhimu kiongoz we kula hzo chips zako inavyoonesha alishafakamia kiporo chake cha mchana hapo yuko full.
 
We ni mjanja wa kwanza
kurudi mapema........usipende kudandia mada kama hautaki kuichangia
ndugu haujalazimishwa

msamehe maana hajui kuwa malaya wako smart sana kabla ya saa mbili wako home.mke ilibidi kwanza akusikilize wenda kuna sababu ilokuchelewewsha
 
Back
Top Bottom