jaman hii ni technologia au freemason?

jaman hii ni technologia au freemason?

wakuu mwenye hizo game kwenye whatsup naombeni atume 0767476295
 
Nilitaka nimjibu hivyo hivyo, an old trick!
ndio nashangaa bado wanhangaika eti wengine wanawza sijui freemason mara illusion wabongo bana hatupendi kuumiza vichwa ngoja nitakuja kuupost huo mchezo hapa ngoja niutengeneze ili watu welewe nikishindwa basi nitapost katika mfumo wa ppt au video ya kawaida
 
hiyo si ile trick ya coperfield... wanachofanya wanabadili karata zote kwa mpigo.... ila wanabadili rangi tu
 
Mdau I have this video clip ya ilo game la karata ilinichukua masaa kadhaa kudugua hiyo trick nilicheka sana there is no such things as magic it is just a mind trick umeongea vizuri sana
Hamna chochote hapo FIX tupu. Ngoja nikuelekeze ugundue child trick inayotumika hapo.

Hicho kipicha cha mtu na jicho ni geresha ili tu uone na kudhani kuna kitu kisicho cha kawaida. Kwa kifupi iko hivi

Chukulia mfano seti ya kwanza ni

K-Kopa, 7-Mavi, 4-Shupaza na 2-Kisu. Wanavyokwambia uchague moja, akili yako hubakia kwenye hiyo moja uliyoichagua wewe. Sasa wanachofanya, ni kuzibadili zote kwa mfananio wa rangi kwa mpangilio ule ule.

K-Kisu, 7-Shupaza, 4-Mavi na 2-Kopa. Sasa kama wewe ulichagua 4-Shupaza kwenye seti ile ulioambiwa uchague, unapowekewa hii seti ya pili hutagundua kuwa seti nzima imebadilika. Wewe utaona tu ile 4-Shupaza haipo basi unadhani wameijua karata yako wakati si kweli.

Wewe angalia kwa makini utagundua karata zote zimebadilishwa na wala sio moja
 
Hizi ni magic tricks tu hata youtube ukienda watakuonyesha hua wanafanya vipi...
 
hahaha dah ..
well sio game..ni clip yakurekodiwa kwanza...so ipo vile vile haiwez kubadilika ata useme ucheze mara 6
pilikama ukifwatilia zile namba unazofwatilia mara ya kwanza ni tofauti kabisa na majibu so yanakufanya uwaone wachawi..
ila ni namba zenye symbol ile ile,,i.e kopa jembe n.k
 
Du mimi ndo kwanza nausikia huo mchezo wa karata but siamini kama inaweza kutambua karata niliyo iona
 
iko hv, zile karata za mwanzo zote anazokwambia uchague hazipo tena anapo onesha mara ya pili so hata kama moyoni utachagua karata zote zile basi akija kukuonesha mbele hutoziona karata zako zote.. Mfano anweka 9kisu, 9jembe, 4 kopa, 4 mavi, 2kisu na 2 mavi then ww utachagua moja na kuconcentrate na hio tu then atakwambia ashaijua karata yako thn atakuonesha 9kopa, 9mavi, 4kisu, 4jembe, 2kopa na 2 jembe, ww utadhani iliokuwa haipo ni ile yako tu ulichagua moyoni kumbe zile zote zinazooneshwa mwanzo hazijirudii, namba ni zile zile rangi zile zile bt sio zenyewe coz kama mwanzo aliweka 4kisu huku mbele anaweka 4kopa, mwenye swali aulize

Aiseee hongera mkuuu,umetoa somo kwa lugha rahisivna umeeleweka.
 
Back
Top Bottom