- Thread starter
- #21
Hiyo ni michezo tu. Ni ujanja unatumika. Kumbe watu kama kina Paul Daniel au Derren Brown wakifanya maonyesho bongo kuna watu watasema wamekutana na shetani mwenyewe. Jaribu kutembelea hizi site: Paul Daniels Magic World na Derren Brown | The Official Site. Pia Google hayo majina kwenye Youtube. Kwa kifupi huyo Mr Brown anaweza kumfanya mtu akaua bila kujua lakini yeye anasema sio uchawi. Kwenye hiyo michezo ya karata ndio usiseme kabisa utashangaa mno.
asante kwa kunifumbua