frema120
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 5,099
- 1,338
Habari wakuu?
Tunaomba kumpima huyu Mh. sana, anavyoshangaza katika utendaji wake.
Amekuwa na shutuna mbalimbali tangu aingie TFF, kama za kuhama ofisi, kuua ligi daraja la kwanza, kuajiri watu wanaopaswa kuteuliwa kama wajumbe wa kamati kuu na wenyeviti mbalimbali kwa kupewa masilahi ya kiajira. (watu wakakaa kimya).
Sasa jana ndio kaniacha hoi kabisa, amemteua afisa habari Mr. Baraka Kizunguto kuwa msemaji wa TFF, wakati ni nafasi ya Ajira.
Ni jamalmalinzi anaye ajiri pakuteua, na kuteua pakuajiri.
Tunaomba kumpima huyu Mh. sana, anavyoshangaza katika utendaji wake.
Amekuwa na shutuna mbalimbali tangu aingie TFF, kama za kuhama ofisi, kuua ligi daraja la kwanza, kuajiri watu wanaopaswa kuteuliwa kama wajumbe wa kamati kuu na wenyeviti mbalimbali kwa kupewa masilahi ya kiajira. (watu wakakaa kimya).
Sasa jana ndio kaniacha hoi kabisa, amemteua afisa habari Mr. Baraka Kizunguto kuwa msemaji wa TFF, wakati ni nafasi ya Ajira.
Ni jamalmalinzi anaye ajiri pakuteua, na kuteua pakuajiri.
Last edited by a moderator: