Simba ubingwa kwenye njozi mpaka Manji atoke kuiongoza YangaAache maneno huyo achape kazi. Timu gani hiyo inafungwa kila siku kama kichwa cha mwendawazimu.
Jamal Malinzi naye kumbe anatambua timu yangu kwa jina lingine inatwa 4G. Iliwahi kupigwa 4 na Azam, Alger's, Simba (5G) n.k
View attachment 497422
Wanatakiwa wafungiwe mechi za kimaifa hadi watakapi prove beyond doubt kwamba wana uwezo kushindana kimataifa na hawataendelea kulitia taifa aibu itungwe kanuni ya dharuraWameshindwa kutuwakilisha kimataifa inakera sana
Kwani ubingwa wa Yanga unawasaidia nini zaidi ya kutia aibu taifa!? Mmeshapata nauli kurudi toka Algiers? Wachezaji wasije kuingia kwenye biashara za ajabuajabuSimba ubingwa kwenye njozi mpaka Manji atoke kuiongoza Yanga
Kesho point za dezo kutoka Toto Africa zinarudishwa kwa washindi halaliAache maneno huyo achape kazi. Timu gani hiyo inafungwa kila siku kama kichwa cha mwendawazimu.
Kwa sababu yeye ni YangaMalinzi mbona halaani kitendo cha simba kuitwa wa matopeni?