The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 6,191
- 13,614
Mzuqa wanajamvi,
Kati ya habari iliyohit na kutrend kwenye vyombo vya habari duniani ni kupotea kwa aliyekuwa muandishi mahiri wa gazeti la Al Watan Saudia na washington Post Jamal Khashoggi.
Japo alijua hayupo salama alidhani ubalozi wa Saudi Arabia instanbul Uturuk asingeweza kudhuriwa kwasababu ipo kwenye ardhi ya turkey pia kwa sababu ingetokea madhara yeyote kwake jumuia ya kimataifa ingeingilia kati.
Ila Mohamen Bin Salman Katili sana. Kwenye umri mdogo alionao mambo ya ajabu ya ukatili anayofanya lazima apigwe stopu. Jamaa ana vishen nzuri ila the way he crack down his opponents os so much Brutal. Ila limeshatuma ujumbe kwa opponents wake hawapo Salama popote duniani.
Cc dudus Elungata hearly Washawasha Frank Wanjiru jingalao ISIS
Kati ya habari iliyohit na kutrend kwenye vyombo vya habari duniani ni kupotea kwa aliyekuwa muandishi mahiri wa gazeti la Al Watan Saudia na washington Post Jamal Khashoggi.
Japo alijua hayupo salama alidhani ubalozi wa Saudi Arabia instanbul Uturuk asingeweza kudhuriwa kwasababu ipo kwenye ardhi ya turkey pia kwa sababu ingetokea madhara yeyote kwake jumuia ya kimataifa ingeingilia kati.
Ila Mohamen Bin Salman Katili sana. Kwenye umri mdogo alionao mambo ya ajabu ya ukatili anayofanya lazima apigwe stopu. Jamaa ana vishen nzuri ila the way he crack down his opponents os so much Brutal. Ila limeshatuma ujumbe kwa opponents wake hawapo Salama popote duniani.
Cc dudus Elungata hearly Washawasha Frank Wanjiru jingalao ISIS