Jamaican English

Kwanza haiitwi jamaican english,inaitwa patois (pronounced "patwa".Skiliza sana nyimbo za dancehall alaf uwe unagoogle tafsiri yake online.pia ipo dikshenari ina listi ya maneno yao yote wanayotumia online.mi haffi tel yuh eerting ya need ta know.now its pon u.
 
Duh mmeweza ninyi kuwaelewa!!? Mi nashindwa kuwaelewa hawa watu aisee ila ganja sana na marijuana
 
Back
Top Bottom