Black poison The Factor
JF-Expert Member
- May 31, 2020
- 1,048
- 1,527
- Thread starter
- #61
Ya kununua mtt mkuuhistoria ipi tena ?
Ya kununua mtt mkuuhistoria ipi tena ?
Nacheka kama mazuri lolTatizo sio kamilioni tatizo ni jinsi kalivyopotea, yani unahisi huyo mke amekuchukulia kama boya boya flani hivi.
Inakera sana.
Yaani kudanganywa kwa hivyo kunauma halafu Bank unaipita kila sikuJamaa aliingia mkenge
leo nilitaka kumnunua MinaEli kwa 70kYa kununua mtt mkuu
Kama ni pesa weka mbali kabisa, aone tu zinamfikia ila asijue zinahifadhiwa sehemu gani.Nacheka kama mazuri lol
Boya kabisa duu
Aisee hawa viumbe muwape ushirikiano chumbani tu, ila mengine tufanye siri zetu tu hata kama ni nyumba unampa ufunguo tu
Kabisa mkuuNacheka kama mazuri lol
Boya kabisa duu
Aisee hawa viumbe muwape ushirikiano chumbani tu, ila mengine tufanye siri zetu tu hata kama ni nyumba unampa ufunguo tu
Acha kabisaYaani kudanganywa kwa hivyo kunauma halafu Bank unaipita kila siku
Kuna mda unahis upo na mtu sahh kumbe ni juha tuKama ni pesa weka mbali kabisa, aone tu zinamfikia ila asijue zinahifadhiwa sehemu gani.
Umebadili mawazo mkuuleo nilitaka kumnunua MinaEli kwa 70k
umeme wakakata nikapata kisingizio
kwanza yupo mbali, Sinza,
nilizidiwaUmebadili mawazo mkuu
na kitu gani mkuunilizidiwa
Yaani hata kipato asijue na hata ukimtumia mama asijueKama ni pesa weka mbali kabisa, aone tu zinamfikia ila asijue zinahifadhiwa sehemu gani.
na ngwakwana kitu gani mkuu
Naunga mkono hojaYaani hata kipato asijue na hata ukimtumia mama asijue
Mradi asikose mahitaji yake tu na msosi
Hela zako zipangie bajeti mwenyewe
Tuwapende kwa upendo ila masuala ya finance haiwahusu
Dah hatari sana, itakua ana hasira muda huuna ngwakwa
Ujue hilo sio tatizo, tatizo ile kujichanga kwa jasho na damuIngekua mm simple tu hamna kuingia nae ligi, kumpiga wala kumfokea ila sitakaa nimshirikishe tena mambo yanayohusu hela, assets au mambo yote ya msingi nayoyafanya
Hii ndio nafanya mimi aiseez mme wangu anajua anacheza mchezo wa laki3 kila mwezi na anajua tunapokea mwaezi wa sita kila mwaka. Kumbe naweka sijamsanua.. ni mwaka wanne huu ikifika mwezi wa sita tarehe 30 naachia mabunda baaasi maisha yanaendaMiaka nyuma kidogo nilienda kujiendeleza kimasomo nilivyorudi nilipitia kipindi kigumu sana kwan nilikua na madeni Benki nilichukua Hela ya kusomea pia loan board wakaongeza makato maradufu bila kujali ⅓ , afu ndio nimeoa na mtoto mdogo. Wife akaja kunambia ana mchezo wa laki Kila mwezi, akapita kipindi flan akasema kapewa ni zamu tukanunua sofa, Siku nyingine akapewa tukanunua tv " 32. Baadaye sana maisha yalivyokaa Sawa, wife ndo akanambia hakuwa na mchezo na mtu yeyote alikua anazitunza zikifika za kununua kitu flan ndio anajifanya imekua zamu yake kupewa na alifanya hivyo Kwan alijua nisingekubali kutunza Hela Katika hali ile
Shida siyo pesa bali kufanywa fala.20000x52 = 1,040,000 sio pesa nyingi sana kwa mpambanaji.
Wengi wanatafuta social capital.Kama ni wazo lenu wawili ndani ya nyumba mume na mke kwanini mfikie hatua ya kuwaza kuwekeza akiba kwenye vikundi mitaani?
Kwanini msikubaliane kwa kauli moja kwamba kila siku tuweke sehemu fulani 10K kwa ajili ya kufanya jambo fulani na iwe sehemu ambayo muda wote wewe mume una access ya kuifikia?