Black poison The Factor
JF-Expert Member
- May 31, 2020
- 961
- 1,381
- Thread starter
- #21
Kabisa mkuuni kama yupo sawa hivi....
Kabisa mkuuni kama yupo sawa hivi....
Kumbe kuhangaika kote huko kamilioni na kipigo daa20000x52 = 1,040,000 sio pesa nyingi sana kwa mpambanaji.
noma sana mkuuUnakuwa umeshaset mipango kibao, dk za mwisho unakutana na kitu kizito.
Changamoto sana.
Ingezid mkuu maana c kuna faida za wakopajiKumbe kuhangaika kote huko kamilioni na kipigo daa
Kweli watu wanapishana aisee
Ulimuona....? Au ndio umama umekujaaJamaa bahili mke kajiongeza, safi sana
Amebaki haelew chchtKatapeliwa
Ok. Kampiga kwa hasira za kudanganywa.Wee jamaa katoa pigo la mbwa mla kuku na mayai ni hatari
Tena zitoNi balaa
Ndoivo mkuuOk. Kampiga kwa hasira za kudanganywa.
Kudanganywa. Means mdanganyaji anaona anakuzidi akili. Ngumu kusamehe
Umepigaje hapoo????Cha mgema huliwa na mlevi...
komandoNdoivo mkuu
Sasa mkuu wana maisha magum sana20000x52 = 1,040,000 sio pesa nyingi sana kwa mpambanaji.
kuna mwenzangu limemkuta jambo.komando
U nailed it. Inakwaza… kuna ka mtu somewhere nashindwa hata kukasamehe. Pesa nishaweka 50/50, alipe sawa, asilipe sawa.Unakuwa umeshaset mipango kibao, dk za mwisho unakutana na kitu kizito.
Changamoto sana.
Mbaya uambiwe ni ya mahariWanawake ni wabinafsi, kila siku tunasema
Niajekuna mwenzangu limemkuta jambo.
Aisee Mungu ni mwema mkuu, unaendeleaje lakini?E ni vipi mkuu
Ni maisha nimepitia,hakuna pakuweka hela ikawa salama zaidi ya nyumbani kwako tena ukimshirikisha mke kama ana akili tulivu na hapendi makuu mtaani hapo mmetoboa.Mkuu tatizo kuweka hela ndani ni kazi mkiwa na kipato kidogo