Hata sijui kwanini nahisi hivyo , najiweka mbali siku zoteKwa nini?Nashindwa hata kupretend kwamba sikupendi
K-ci & JojoAll my life I have prayed for someone like you and i hope that you feel the same way too.I pray that you do love me too.
Wangu aliondoka, daah niliishi maisha mazuri sana, alirudi baada ya miezi kadhaa sijawahi kumuuliza alipokuwepo japo nilikuwa nnajua yupo kwao, alikuja kuniambia wewe pixel wakiitwa wanaume songa mbeleYaani mimi sijui kwanini mke wangu hanitawali... Maana akinitishia kwenda kwao naita usafiri uje mlangoni kabisaa..
Ndo dawa zaoWangu aliondoka, daah niliishi maisha mazuri sana, alirudi baada ya miezi kadhaa sijawahi kumuuliza alipokuwepo japo nilikuwa nnajua yupo kwao, alikuja kuniambia wewe pixel wakiitwa wanaume songa mbele
Jamaa kazingua hata kama unaacha hela bas wasaprise maramoja moja uwe na kitu kipya kila siku mkaa ndo nini hata kama unaacha hela basi nawe emea siku moja moja ndo wanawake walivo,unaeza siku nyingine ukaleta nyama,zingine samak au ukaja na ndoo ya viazi inamaan hko anakopita haonag vtu vya kuleta nyumban wanamke kamkomesha mwanaume asojua kujiongeza
Kanichekesha sana huyu jamaaMkuu,
Hebu mwaga darasa hicho kichwa cha "ulipo tupo" kinapigwaje?
Pole sana, umekula lakini? Maana hii ni dalili ya njaa.Mmeshaanzaa kutuandikia essay za historia kenge nyie hamjui mnatukumbushaa form four b
🤣🤣🤣🤣🤣
Ndo ashamfundisha tyar ulicholeta ndo nilchokupikiaSo ndo amuekee mkaa kwenye hotpot ilhali vyakula vipo ndani.....???
Sawa lakin mke naye mkorofi, kwa nini na yeye asimwambie jamaa kuwa mkaa upo leta kitu fulan au wanaishi kwa kuviziana. Maelezo yanasema kodi ya meza huwa inaachwa sasa shida ni nini kama sio nidhamu mbovu ya mwanamkeAmezid na yy siku nyingine aulize nilete nn wife..hivyo tu
Shida ni bei ya mkaa..Ha ha haSawa lakin mke naye mkorofi, kwa nini na yeye asimwambie jamaa kuwa mkaa upo leta kitu fulan au wanaishi kwa kuviziana. Maelezo yanasema kodi ya meza huwa inaachwa sasa shida ni nini kama sio nidhamu mbovu ya mwanamke
wanawake wengine ni nyoko
na siku akipeleka kisamvu,asishangae usiku kitandani anatengewa kisamvu cha kopo


Ee Mola wangu nisaidie