Jamaa atengewa hotpot lenye mkaa dinning

Jamaa atengewa hotpot lenye mkaa dinning

Huyo jamaa yako kakudangani

Itakuwa haachi matumizi...

Yeye akununua mkaa anajua unga Michele mboga zinajishusha zenyewe
Nina uhakika anaacha matumizi coz simsikii hata kuwa na michepuko so hela anayoipata ni ya familia. Lakini pamoja na hayo hivi kweli unaweza kumtengea mwenzio mkaa? Umnawishe mikono, uombee chakula kumbe ndani ya hotpot kuna mkaa? Huyu dada jambazi
 
Ujue kizazi hiki sio wanaume sio wanawake soote tunaingia kwenye mahusiano na ndoa tukiwa na mapungufu mengi hasa kiakili jinsi ya kuish na mwenzako. Kizazi cha dot com. Sita msahau kitoto kimoja cha kike nimelala nako siku 2 tatu kinataka nikinunulie smart phn nilicheka sana muda huo nakivua chupi nakuta kinachupi chafu zimechanika afu kinawaza smartphn. Nilikinunulia chupi za kiwango nying na nguo nyingine za ndani. Akagoma kuzichukua et anataka simu. Matusi aliyoyapatasidhani kama atakuja tukanwa tena kwa ujazo ule. Jamani tuwe tunapimana akili kwanza sio VVU kabla ya kuanza mahusiano.
Kuna wanawake sijui walilelewaje au ni tatizo langu la kuwa PERFECTIONIST.
Demu anaweza ongea na mm two sentences nikapiga chini hapo hapo hata namba siombi maana namuona kama tutasumbuana mbele huko.
 
Ila yawezekana Kuna sababu iliyomfanya Huyo mwanamke afanye hivyo.
Mwanamke mwenye akili timamu hawezi tu kuanza kufanya hivyo pasi na Sababu.
Kila kitu kinachofanywa hua kina sababu hoja ni mashiko ya sababu husika
 
Ningeweza kumuua Siku hiyo aiseeeee,,,,,kama ndivyo alifundishwa kwao hivyo angejuta,,kama amefundishwa n hawara yake angeenda kuishi nae coz baada y kumchapa ningemfukuza kama sijawai kumuona
 
Jamaa kazingua hata kama unaacha hela bas wasaprise maramoja moja uwe na kitu kipya kila siku mkaa ndo nini hata kama unaacha hela basi nawe emea siku moja moja ndo wanawake walivo,unaeza siku nyingine ukaleta nyama,zingine samak au ukaja na ndoo ya viazi inamaan hko anakopita haonag vtu vya kuleta nyumban wanamke kamkomesha mwanaume asojua kujiongeza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom