Jamaa atengewa hotpot lenye mkaa dinning

Jamaa atengewa hotpot lenye mkaa dinning

Vijana mnapotaka kuoa kuweni makini wakati wakuchagua wake wa kuoa

Sasa waweza kuniambia huyo mwanamke anatofauti Gani na Chizi Kibedui

Kuna watu wengine ni vichaa badala ya kuwaacha na vichaa vyao mnawachukua mna waoa/wana waoa na hatimae mnakuwa mmewapa majukumu mazito ambayo hayaendani na uwezo wao wakufikiri

Msipo kuwa makini kila siku mtakuwa mnalia lia na Mikasa ya kutisha katika ndoa itakuwa haiishi

BTW -- Nimecheka sana ...mkaa !!!!
Kipaumbele chao ni Sura na umbo baada ya wiki kesi zinaanza
 
Huyu itabidi tumkalishe kikao anatuaibisha kwakeli kwanza ilitakiwa ile amefunua tu hotpot na kukuta mkaa angemuuliza mbona hivi sasa ile anaanza tu kujibu hapohapo anamrukia na kichwa kile cha ulipo tupo.. hicho kichwa kwa tunaojua kukipiga mtu lazima atoke na nundu..
Mkuu,
Hebu mwaga darasa hicho kichwa cha "ulipo tupo" kinapigwaje?
 
Tatizo yawezekana mumewe akisafiri anaacha pesa ya wiki 1 ilhali yeye anakaa huko majukumuni mwezi mzima, labda ni tabia ya muda mrefu na kashaambiwa na mkewe ila ndo habadiliki, mke kaamua kumtengea anachokiona mume ni muhimu sana.

Ama la uchumi umembadilikia mume ghafla tena mfululizo hivyo kushindwa kutimiza majukumu aliyokuwa akiyatimiza mwanzo.

Sema mkewe hakutakiwa kufanya hivyo, yeye angemkarimu tu kama alivyomkarimu kwenye kuoga na kumpakulia kile alichokuwa ameandaa kabla ya mume kuja ama kutokumtengea chochote kama hakukuwa na chakula, bila shaka mume angeelewa ndani kukavu.
 
Tatizo yawezekana mumewe akisafiri anaacha pesa ya wiki 1 ilhali yeye anakaa huko majukumuni mwezi mzima, labda ni tabia ya muda mrefu na kashaambiwa na mkewe ila ndo habadiliki, mke kaamua kumtengea anachokiona mume ni muhimu sana.

Ama la uchumi umembadilikia mume ghafla tena mfululizo hivyo kushindwa kutimiza majukumu aliyokuwa akiyatimiza mwanzo.

Sema mkewe hakutakiwa kufanya hivyo, yeye angemkarimu tu kama alivyomkarimu kwenye kuoga na kumpakulia kile alichokuwa ameandaa kabla ya mume kuja ama kutokumtengea chochote kama hakukuwa na chakula, bila shaka mume angeelewa ndani kukavu.
Hayo maisha sio ya mke na mume! Mkishaingia kwenye ndoa mnapaswa kuwa na mawasiliano! Iwapo kuna mapungufu ni vyema kuwekana chini na kuzungumza!
 
Tatizo yawezekana mumewe akisafiri anaacha pesa ya wiki 1 ilhali yeye anakaa huko majukumuni mwezi mzima, labda ni tabia ya muda mrefu na kashaambiwa na mkewe ila ndo habadiliki, mke kaamua kumtengea anachokiona mume ni muhimu sana.

Ama la uchumi umembadilikia mume ghafla tena mfululizo hivyo kushindwa kutimiza majukumu aliyokuwa akiyatimiza mwanzo.

Sema mkewe hakutakiwa kufanya hivyo, yeye angemkarimu tu kama alivyomkarimu kwenye kuoga na kumpakulia kile alichokuwa ameandaa kabla ya mume kuja ama kutokumtengea chochote kama hakukuwa na chakula, bila shaka mume angeelewa ndani kukavu.

Una busara sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo Mwanga Mke alitakiwa kutumia lugha ya picha isiyoleta ghadhabu bali maswali fikirishi iwapo mwanaume ana upeo na akili za kiume. Na pia atapata jawabu kama mumewe ni mpenda mteremko yaani anaona mambo yanafanyika lakini hata haulizi nani kagharamia yeye anakula anadinya analala.

Angefanya hivi....

Chukua hela vikoba nunua shuka zuri la hariri kitanda na chumba kinakuwa safi. Unaandaa chupi brazia na shumizi yenye less au transparent nzurii ya kumuamsha amsha unaviweka standby kabatini.
Unaandaa msosi mtamuu, kuku wa kienyeji au rosti la maini au samaki wa kukaanga na upako was motoo na kachimbari pembeni na matunda bila kusahau shurbati ya machungwa.
Akishtuka atauliza sikuacha hii hela hivi vitu nani kanunua hapo ndo unamwambia akurudishie kikoba chako na kuanzia hapo agharamie. Mambo mazuri yanagharama.
Akifika chumbani atamaki shuka jipya, na wewe umevaa vitu vya kuvutia vipya nani kakununulia.... ajiuliza na kutaka majibu kwako ndo pa kumwambia mfuko wako unaishia wapi ugharamie.
Ukiona anafumba macho haulizi kitu jua umeoa Mario. Jipange kuwa mke sterling.
Kila la kheri kwa wenye Ndoa zao.
 
Tatizo yawezekana mumewe akisafiri anaacha pesa ya wiki 1 ilhali yeye anakaa huko majukumuni mwezi mzima, labda ni tabia ya muda mrefu na kashaambiwa na mkewe ila ndo habadiliki, mke kaamua kumtengea anachokiona mume ni muhimu sana.

Ama la uchumi umembadilikia mume ghafla tena mfululizo hivyo kushindwa kutimiza majukumu aliyokuwa akiyatimiza mwanzo.

Sema mkewe hakutakiwa kufanya hivyo, yeye angemkarimu tu kama alivyomkarimu kwenye kuoga na kumpakulia kile alichokuwa ameandaa kabla ya mume kuja ama kutokumtengea chochote kama hakukuwa na chakula, bila shaka mume angeelewa ndani kukavu.
Mmeshaanzaa kutuandikia essay za historia kenge nyie hamjui mnatukumbushaa form four b
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Njia mbili simultaneously way na alternative way.
Simultaneously way anatakiwaa ampindulie mezaa kama shilolee
Yan uchebe part 50.
Alternative way
Ampandisheee cheo awee mke MKUBWA .
🤣🤣🤣😂😂😂
 
Njia mbili simultaneously way na alternative way.
Simultaneously way anatakiwaa ampindulie mezaa kama shilolee
Yan uchebe part 50.
Alternative way
Ampandisheee cheo awee mke MKUBWA .
🤣🤣🤣😂😂😂
Zote ngumu ila nadhani ya pili ina uafadhali kidogo😀😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom