wiseboy
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 2,931
- 3,299
jamani tupo mtaani, mambo magumu na tulisha zoea, jamaa angu tulie maliza nae chuo ni mtani sana sasa kanipigia cm eti wizara ya mifugo na uvuvi imetema majina ya waajiliwa na eti jina langu lipo kwenye gazeti la leo la dailynews, je ni kweli au ananizingua, je kuna m2 anaweza kuweka link hapa, thanks wakubwa