Kapime kile kipimo cha DNA ndipo utakaposhangaa kuwa mtoto sio wako wala wa huyo unayedai analea. Halafu huyo mchumba wa Arusha anafahamu hilo, nakuomba umwambie kuwa ulipokuwa Zenj kwa muda wa miezi mitatu ulishindwa kuvumilia, ukafanya ngono zembe na kumpachika mwanamke mimba.