Jamaa analea mtoto wangu akizan ni wake:

Ndani ya miezi sita mmekutana, mkapendana, mkapeana mimba, dada akaolewa, mimba ikakua, mtoto akazaliwa na sasa analelewa na jamaa?
Hehehe... watu wengine wana shahaw.a kama za jogoo....:crazy::crazy:
 
Halafu hii tabia ya kusema eti mtoto wako unataka ukamchukue.......hivi huwa ni kwa misingi ipi atii???
Kwani huyo sio mtoto wa mama yake??

Na ulivyoondoka ulitegemea hiyo mimba ikueje??
 
Wewe una uhakika gani kama mimba ni yako? afu huyo mwanaume ana uhakika gani kama mimba sio yake?

Inawezekana yule mwanamke alikuwa anatafuta sababu ili umuoe akasema ana mimba, na huyo aliye kuja inawezekana ndo mwanaume wake orignal yani toka mwanzo alikuwa ndo anapiga vitu.

Usiwamini wanawake sana, inawezekana hio mimba yako au ya yule mwanaume, lakini kama mwanaume yule kaowa vipi asijue mke wake ana mimba?? Labda awe mtoto alie zaliwa juzi ndo anaweza kuwa hajui vipi mimba inaingia na inachukua mda gani mpaa izaliwe.

Siku hzi vitoto vina miaka mitano vinajua kama mimba inaingia vipi, unadhani huo ni ule wakati wenu mlikuwa mnadanganywa eti mama anaenda nunua mtoto dukani, au mama kashiba sana kwa sababu anatumbo kubwa.
 
Ila kulea mtoto ambaye si wako pasipo kujua kwa sababu tu umeaminishwa kuwa ni wako ni mbaya sana.
 
We chizi nn?
Umekaa zenji miezi 2 kisha ukasema mitatu. kabla hujaondoka ana mimba na akajifungua six months later so 3+6=9 ni kweli. Kwa hiyo mzee ulivyofika zenji tu, ukamuona, ukamtongoza, ukalala nae na akapata mimba(hapa ww ni striker wa aina yake kama messi vile)...
OK sasa ana mimba ya miezi mitatu, dume jengine likatongoza, likamfanya kisha likamweka ndani (hii ndo faida ya ustaika wa fastafasta). Sasa kimbembe baada ya miezi sita mtoto kazaliwa....mh! hivi kumbe hawa watoto wa .com huwa wanakaa tumboni miezi 6 tu?
Kumbe hii ndo sababu ya watoto wa cku izi kukosa maadili..
 
yani ukiisoma tena ndio unajua umuhimu wa kupima akili vitoto humu..... The kid is utterly and disaappontongly imbecile....

Naaibisha wanaume wote duniani
 
Inategemea umeipata kipindi gani:
Masika au kiangazi?
Mchana au usiku

Pia inategemea na mazingira ilipopatikana
Gesti au Hotelini au home
Kitandani au sakafuni

Pia inategemea na kitoa mimba husika
Kibamia au Mshobobo

Na hali ya kitoa mimba
Kimetahiriwa au govinda

Ukipiga mahesabu hapo utapata jibu mathematically.
hahahhaha duu humu ndani kunavituko kweli!
 
Unajuaje na wewe kama ile mimba ni yako?
Na unaelewa kama yule mwanamke alikuwa anawachanganya wewe na huyu aliyemuoa?
Je unajuaje wewe ndo ulikuwa unammiliki peke yako?
Je huyu mwanamke ulimkuta bikra?

sometime mende huwa una akili..i like people like you. Bahath mbaya natumia sim ungelamba like fasta.
 
Watu wanasema "Usichokijua, hakiwezi kukuumiza."

It's just not fair bana.

Mwanamke wa namna hiyo ana moyo ya kiuaji kabisa. Nitampa udhuru tu kama na yeye hajui kiukweli nani alimpa mimba maana hiyo nayo hutokea.

Lakini ajue halafu adanganye? Kwa manufaa ya nani hasa?
 
It's just not fair bana.

Mwanamke wa namna hiyo ana moyo ya kiuaji kabisa. Nitampa udhuru tu kama na yeye hajui kiukweli nani alimpa mimba maana hiyo nayo hutokea.

Lakini ajue halafu adanganye? Kwa manufaa ya nani hasa?

Kwa manufaa yako, yake na ya mtoto.
Pengine ameona kwamba we unafaa zaidi kuwa baba wa kweli wa huyo mtoto. Alafu hataki kuvuruga mahusiano yenu kwa namna yoyote ile. That way. . .Wewe unapata kuwa baba na kuendelea na mwanamke wako unaempenda, mtoto analelewa na mwanaume ambae anampenda mtoto na mama ameridhika nae, mama anapata kuwa karibu na mtoto pia mwanaume anaempenda bila kuchanganya mambo.
 
Kwa manufaa yako, yake na ya mtoto.
Pengine ameona kwamba we unafaa zaidi kuwa baba wa kweli wa huyo mtoto. Alafu hataki kuvuruga mahusiano yenu kwa namna yoyote ile. That way. . .Wewe unapata kuwa baba na kuendelea na mwanamke wako unaempenda, mtoto analelewa na mwanaume ambae anampenda mtoto na mama ameridhika nae, mama anapata kuwa karibu na mtoto pia mwanaume anaempenda bila kuchanganya mambo.

Aiseeee...nikija kugundua ntamwagia ile kemikali.
 
Umekaa miezi sita ,
Mimba ya miezi tisa imeshapata matunda ya mtoto ..
Kazi kweli kweli
 
Back
Top Bottom