Jk ni kiongozi huwezi kumlinganisha na hawa njiwa wengine.Ila Jk ni smiling killer! Jembe sana jamaa
Afadhali aende kuyatatua matatizo yake na brother wake PK ,huu ndio muda muafaka wawili hawa wakae chini na kujaribu kuweka tofauti zao sawa sawa,well done Mr JK umetuonyesha moyo wa kiafrika. Mr Murage Msherwampamba PEACE.
Kama Mr PK anafikiria anamdhihaki JK hiyo itakuwa ni shauri lake mwenyewe Jk kazowea kufanyiwa dhihaki na hajali kitu kama hicho sijui kuletewa waziri mwanamke kumpokea sana sana hiyo inakuwa ni bora kwake labda inawezekana hata huyo waziri mwanamke akaingia ktk ma line na kuishia kualikwa nayeye Dar,tena nasikia huyo waziri mwenyewe tako lake si la kikawaida na hivyo ndivyo Mr JK anavyovipenda.Hiyo inaweza ikawa ni moja ya hikma za Mr PK.Msherwampamba:canada:Kwanini raisi apokelewe na Waziri? Hivi ndivyo wanavyomdhihaki mshikaji bila hata yeye kung'amua.
Ila kwa sababu labda kaletewa kamama.
Kwani kagame hayupo mpaka anapokelewa na minister.....duh
Mkuu naskia siku hizi bongo tako kwa mwanamke ni U-DC
Mama yako mzazi ni DC wa wapi vile?
Kwani kagame hayupo mpaka anapokelewa na minister.....duh
Koba, your tone seems interesting today. Nadhani ulitaka kusema amekwenda kusalimia ndugu zake huko Rwanda. You were one of supporters of the view that our president and his wife are hutus, and you were waiting to hit him at right time.
Now that he is in Kigali, hit him!.