PostGE2025 Jaji Warioba: Vyombo vya Usalama vilijiandaa kwa bunduki na risasi? Kwasababu ndiyo wametumia zaidi!

PostGE2025 Jaji Warioba: Vyombo vya Usalama vilijiandaa kwa bunduki na risasi? Kwasababu ndiyo wametumia zaidi!

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Akizungumza kuhusu suala hilo, Warioba amesema tathmini ya matumizi ya nguvu inapaswa kuangaliwa kwa uhalisia, hususan kwa kuzingatia idadi ya vifo vilivyotokea. Ameeleza kuwa maandamano yamesababisha vifo vingi, jambo linalozua maswali kuhusu aina ya maandalizi yaliyofanywa na vyombo vya ulinzi na usalama.



Soma: Jaji Warioba: Waliouawa Oktoba 29, 2025 ni wengi kuliko waliouawa kwenye Vita ya Kagera

Kwa mujibu wa Warioba, kwa takribani miaka miwili vyombo hivyo vilikuwa vimeelekezwa kujiandaa kusimamia mchakato wa uchaguzi ili uwe huru, wa haki na wa amani. Hali hiyo ilisababisha wananchi kudhani maandalizi hayo yalikuwa kwa ajili ya kudhibiti hali endapo kungetokea vurugu.

“Hivyo basi, tunajiuliza: walijiandaa vipi? Je, walijiandaa kwa bunduki na risasi? Kwa sababu hizo ndizo zimeonekana kutumika zaidi,” amesema Warioba.

Ameongeza kuwa kinachopaswa kujadiliwa ni aina ya maandalizi yaliyofanyika na kama nguvu iliyotumika ililingana na mazingira halisi ya tukio. Kwa maoni yake, matumizi ya silaha za moto dhidi ya waandamanaji wasio na silaha za kisasa yanahitaji kuwekewa wazi ili jamii iweze kufanya tathmini ya haki.

“Hapa unashughulika na vijana ambao hawana silaha za kisasa, lakini wewe una bunduki na risasi, unatumia nguvu na kuua. Basi matukio haya yawekwe wazi ili tuweze kuamua kama kweli nguvu iliyotumika ilistahili. Kwa maoni yangu, hali ilikuwa tofauti."

Video: Jamhuri TV
 
Katika mazungumzo aliyoyafanya jana Disemba 22, 2025 na Jamhuri digital juu ya ilichotokea oktoba 29 siku ya uchaguzi mkuu, waziri mkuu mstafu mzee Warioba ameeleza kuwa vyombo vya ulinzi na usalama vilianza kuambiwa kuwa vijiandae kuhakikisha amani na usalama vinatawala ya siku ya uchaguzi mkuu miaka miwili nyuma na vyombo hivyo imeonekana kuwa vilijiandaa sana kwa bunduki na risasi za moto baada ya kuona matokeo ya kilichotokea oktoba 29, 2025

Soma pia: Jaji Warioba: Oktoba 29 vyombo vya usalama vilijiandaa zaidi kwa bunduki na risasi?, kwasababu ndiyo wametumia zaidi

 
Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba, Oktoba 29 vyombo vya usalama vilijiandaa zaidi kwa bunduki na risasi, kwasababu ndiyo wametumia zaidi.

Akizungumza kuhusu suala hilo, Warioba amesema tathmini ya matumizi ya nguvu inapaswa kuangaliwa kwa uhalisia, hususan kwa kuzingatia idadi ya vifo vilivyotokea. Ameeleza kuwa maandamano yamesababisha vifo vingi, jambo linalozua maswali kuhusu aina ya maandalizi yaliyofanywa na vyombo vya ulinzi na usalama.

Soma: Jaji Warioba: Waliouawa tarehe 29 ni wengi kuliko waliouawa kwenye Vita ya Tanzania na Kagera

Kwa mujibu wa Warioba, kwa takribani miaka miwili vyombo hivyo vilikuwa vimeelekezwa kujiandaa kusimamia mchakato wa uchaguzi ili uwe huru, wa haki na wa amani. Hali hiyo ilisababisha wananchi kudhani maandalizi hayo yalikuwa kwa ajili ya kudhibiti hali endapo kungetokea vurugu.

“Hivyo basi, tunajiuliza: walijiandaa vipi? Je, walijiandaa kwa bunduki na risasi? Kwa sababu hizo ndizo zimeonekana kutumika zaidi,” amesema Warioba.

Ameongeza kuwa kinachopaswa kujadiliwa ni aina ya maandalizi yaliyofanyika na kama nguvu iliyotumika ililingana na mazingira halisi ya tukio. Kwa maoni yake, matumizi ya silaha za moto dhidi ya waandamanaji wasio na silaha za kisasa yanahitaji kuwekewa wazi ili jamii iweze kufanya tathmini ya haki.

“Hapa unashughulika na vijana ambao hawana silaha za kisasa, lakini wewe una bunduki na risasi, unatumia nguvu na kuua. Basi matukio haya yawekwe wazi ili tuweze kuamua kama kweli nguvu iliyotumika ilistahili. Kwa maoni yangu, hali ilikuwa tofauti."

Video: Jamhuri TV
Nimezidi kumheshimu Warioba. Anaongea kama mtu mwenye conscience sio mwanasiasa. Anapaswa kusikilizwa.

Amandla...
 
Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba, Oktoba 29 vyombo vya usalama vilijiandaa zaidi kwa bunduki na risasi, kwasababu ndiyo wametumia zaidi.

Akizungumza kuhusu suala hilo, Warioba amesema tathmini ya matumizi ya nguvu inapaswa kuangaliwa kwa uhalisia, hususan kwa kuzingatia idadi ya vifo vilivyotokea. Ameeleza kuwa maandamano yamesababisha vifo vingi, jambo linalozua maswali kuhusu aina ya maandalizi yaliyofanywa na vyombo vya ulinzi na usalama.

Soma: Jaji Warioba: Waliouawa tarehe 29 ni wengi kuliko waliouawa kwenye Vita ya Tanzania na Kagera

Kwa mujibu wa Warioba, kwa takribani miaka miwili vyombo hivyo vilikuwa vimeelekezwa kujiandaa kusimamia mchakato wa uchaguzi ili uwe huru, wa haki na wa amani. Hali hiyo ilisababisha wananchi kudhani maandalizi hayo yalikuwa kwa ajili ya kudhibiti hali endapo kungetokea vurugu.

“Hivyo basi, tunajiuliza: walijiandaa vipi? Je, walijiandaa kwa bunduki na risasi? Kwa sababu hizo ndizo zimeonekana kutumika zaidi,” amesema Warioba.

Ameongeza kuwa kinachopaswa kujadiliwa ni aina ya maandalizi yaliyofanyika na kama nguvu iliyotumika ililingana na mazingira halisi ya tukio. Kwa maoni yake, matumizi ya silaha za moto dhidi ya waandamanaji wasio na silaha za kisasa yanahitaji kuwekewa wazi ili jamii iweze kufanya tathmini ya haki.

“Hapa unashughulika na vijana ambao hawana silaha za kisasa, lakini wewe una bunduki na risasi, unatumia nguvu na kuua. Basi matukio haya yawekwe wazi ili tuweze kuamua kama kweli nguvu iliyotumika ilistahili. Kwa maoni yangu, hali ilikuwa tofauti."

Video: Jamhuri TV
Mtu muhuni kama JK analeta Janamke wala halina maadili, ati lipewe umakamu wa Rais kwa sababu ya jinsia, halafu linakuja kuharibu taswira ya nchi iloyokuweko tangu miaka 65 iliyopita. Siku moja tu limeangusha nchi. Duuu.

Nyerere alikataa kabisa JK asipewe nchi, lakini baada ya kifo chake ikawa ndiyo mwanya, Wahuni wakaingia, nchi imefikia hapa. Only because of one HOOLIGAN and One Woman. Disgusting and abominable
 
wajinga akina Tlaatlaah wataja kwambia kwasababu wananchi walikuwa wanaharibu miundombinu na uporaji wa mali.
Kitu ambacho sio kweli walokuwa wakifanya uharibifu na wizi ni polisi pamoja na mamluki wengine
Huo ndiyo ukweli, hakuna namna wale waharibifu na wezi wangedhibitiwa bila risasi za moto. Haijalishi Jaji Warioba kasema nini
 
Akizungumza kuhusu suala hilo, Warioba amesema tathmini ya matumizi ya nguvu inapaswa kuangaliwa kwa uhalisia, hususan kwa kuzingatia idadi ya vifo vilivyotokea. Ameeleza kuwa maandamano yamesababisha vifo vingi, jambo linalozua maswali kuhusu aina ya maandalizi yaliyofanywa na vyombo vya ulinzi na usalama.



Soma: Jaji Warioba: Waliouawa tarehe 29 ni wengi kuliko waliouawa kwenye Vita ya Tanzania na Kagera

Kwa mujibu wa Warioba, kwa takribani miaka miwili vyombo hivyo vilikuwa vimeelekezwa kujiandaa kusimamia mchakato wa uchaguzi ili uwe huru, wa haki na wa amani. Hali hiyo ilisababisha wananchi kudhani maandalizi hayo yalikuwa kwa ajili ya kudhibiti hali endapo kungetokea vurugu.

“Hivyo basi, tunajiuliza: walijiandaa vipi? Je, walijiandaa kwa bunduki na risasi? Kwa sababu hizo ndizo zimeonekana kutumika zaidi,” amesema Warioba.

Ameongeza kuwa kinachopaswa kujadiliwa ni aina ya maandalizi yaliyofanyika na kama nguvu iliyotumika ililingana na mazingira halisi ya tukio. Kwa maoni yake, matumizi ya silaha za moto dhidi ya waandamanaji wasio na silaha za kisasa yanahitaji kuwekewa wazi ili jamii iweze kufanya tathmini ya haki.

“Hapa unashughulika na vijana ambao hawana silaha za kisasa, lakini wewe una bunduki na risasi, unatumia nguvu na kuua. Basi matukio haya yawekwe wazi ili tuweze kuamua kama kweli nguvu iliyotumika ilistahili. Kwa maoni yangu, hali ilikuwa tofauti."

Video: Jamhuri TV

WARIOBA VYOMBO VYA ULINZI VIMEGAWANYIKA

WARIOBA AKATAA KUWA MZEE MAJOR MSTAAFU BUTIKU, WARIOBA WAZIRI MKUU MSTAAFU ASISITIZA TUTAIHUKUMU SERIKALI KWA KUONA IDADI YA WATU WALIOKUFA


View: https://m.youtube.com/watch?v=jqdj51g_SSQ
Idadi ya watu waliokufa ni kubwa, vyombo vya ulinzi wananchi waliambiwa vimekuwa vikiandaliwa.

Ulijiandaa kwa bunduki na risasi, hilo ndilo swali la msingi. Vijana walikuwa hawana zana za kivita za kisasa ktk maandamano anasema ‎Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais mstaafu, Jaji Joseph Sinde Warioba

Hapa tulijiua sisi wenyewe wengi katika maandamano ya kupiga uchaguzi wa tarehe 29 Oktoba 2025 siyo na adui kama ile vita ya Kagera

Warioba kuna mgawanyiko ndani ya vyombo vya Ulinzi. St.Peter's tunapiga kona nikasimamishwa Haile Sellasie wanauza maua wananisalimu polisi wakaniambia tunashukuru kukuona, sasa siasa imetugawa tunaomba utufikishie ujumbe kwa wakubwa Mzee Warioba

Nilipofika nyumbani nikakwambia mama nimekumbana na tukio la kutisha kuambiwa kuwa vyombo vya ulinzi na usalama vimebadilika Mzee Warioba akimsimulia ..

1766484315581.jpeg
 
Back
Top Bottom