Anatokea kibosho ni shemeji yake na mzee mtei.Mkuu kwanza tuweke sawa huyu Jaji Sikinde Warioba anatokea nchi gani?
Cybercrime, Katiba ya Warioba ilihusu mambo ya Muungano tu. Wasingeweza kujumuisha kila kitu. Mambo uliyoyataja kulingana na maelezo yao yangeshughulikiwa na katiba za nchi washirika.
Mkuu kwanza tuweke sawa huyu Jaji Sikinde Warioba anatokea nchi gani?
Wale wajinga walikuwa wanalipwa 500,000 kwa siku na bado wakaja na Rasimu ambayo haina hata ibara moja ya wakulima, wafanyakazi, wafugaji, wasanii, wachimbaji wadogo wala ardhi, leo Waryoba anasema bila aibu eti anawasubiri wabunge wa bunge maalum la Katiba mtaani
Waryoba ni mgonjwa nyie mnatetea msilolijua, wanaharakati wanamtumia bila ya yeye kujijua.Wewe mleta mada ni mngese kweli, fuatilia ile hukumu ya Mahakama kuu kuhusu ile kesi aliyofungua Kubenea ndio utelewa kuliko kuandika upumbavu.
Waryoba ni mgonjwa nyie mnatetea msilolijua, wanaharakati wanamtumia bila ya yeye kujijua.
Kwa jina la Mungu wewe sio mzima au upeo wako ni sawa na ubungo wa kuku! kama hujui manufaa ya katiba na ni kwa ajili ya nani bac aidha elimu yako utata, hupendi kusoma, au uliwahi kuugua ugonjwa wa kimirembe mirembe!:angry:
Mjepo acha ujingaAnatokea kibosho ni shemeji yake na mzee mtei.
Tume ya waryoba siyo kwamba inataka kusambaratisha muungano bali inataka kuuimarisha na kuondoa kero zilizopo kwa hiyo usipotoshe nia nzuri ya nguri hao.Hawa jamaa wanaomtetea Warioba wanafiki sana.
Laiti ndo angekua kwenye chama chao cha chadema na anapishana na misimamo ya viongozi wake hawa hawa mashabiki mandazi wangembatiza jina la usaliti. Lakini kwakuwa yuko ccm anacheza ngoma ya ukawa wanaona poa tu na kumpa maujiko ya kijinga. Kwao hata nchi ikisambaratika hawana cha kupoteza kwasababu hata historia haiwatambui.
Kama mnaona Warioba anachokifanya ni sahihi basi mngetoa mfano kwa kuwapigania akina zitto wasifukuzwe ndani ya chama baada ya kuwa wanaipigania Katiba ya chama chenu iliyochakachuliwa ili kuweka kipengele cha ufalme(uongozi pasipo ukomo).
Wafukuzeni akina Mbowe na Slaa waliopindua katiba ya wananchi(wanachama) kisha kuweka mambo yao kinyemela kwan kwa kufanya hivyo hawana tofauti na CCM waliochakachua katiba ya wananchi kwa kuweka yao.
Hii yote ni shibe ya amani ndo inawalevya na kuona haina umuhim tena. Siku mtakapoanza kumwagana damu mtaikumbuka sana Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Tume ya waryoba siyo kwamba inataka kusambaratisha muungano bali inataka kuuimarisha na kuondoa kero zilizopo kwa hiyo usipotoshe nia nzuri ya nguri hao.