Ila itabidi Taasisi hiyo ya Mwalimu Nyerere iweke mabouncer getini, kwa maana ya kuwa mabouncer hao wahakikishe wakimuona tu Makonda, wamshughulikie na kumchapa na kumgalagaza kwa staili ile ile ya Ukawa namna walivyolichapa kisawa sawa na kuligaragaza, lichama lake la Mafisadi, aka lichama la Mapingamizi kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa za wiki iliyopita!