Jaji Warioba aliwaonya akina Lissu kuhusu No Elections, wakampuuza

Jaji Warioba aliwaonya akina Lissu kuhusu No Elections, wakampuuza

(Tundu & Heche) wamepewa madaraka tarehe 21/ 01/2025. Ndani ya miezi 4 yafuatayo yametokea:-
1. Mwenyekiti Tundu amepanga uasi ili kuzuia uchaguzi wa kikatiba wa Oktoba
2. Mwenyekiti Tundu ameshtakiwa kwa kosa la uhaini na yuko rumande Ukonga
3. MAKAMU wake Heche amefukuza viongozi wa CDM kama 55 kisa hawaungi mkono kususia uchaguzi
4. Makamu Heche amekataa kusaini kanuni za maadili za INEC. Hivyo chama kiko nje ya uchaguzi automatically
5. Msajili kasimamisha shughuli za CDM kwa sababu kuna kesi ya kugombea mali za CHADEMA
 
..Samia Suluhu ameingia madarakani mwaka 2021.

..hivi ni kweli hakukuwa na muda wa kurekebisha sheria na mifumo ya uchaguzi?

..pia kuna sababu zipi za msingi kupitisha sheria ya Tume Huru 2024 lakini tume huyo isiteuliwe au isianze kazi mpaka uchaguzi wa 2030?

..wanaoleta shida, kuvunja haki, kutotii sheria, na kutishia amani, ni Ccm.
 
(Tundu & Heche) wamepewa madaraka tarehe 21/ 01/2025. Ndani ya miezi 4 yafuatayo yametokea:-
1. Mwenyekiti Tundu amepanga uasi ili kuzuia uchaguzi wa kikatiba wa Oktoba
2. Mwenyekiti Tundu ameshtakiwa kwa kosa la uhaini na yuko rumande Ukonga
3. MAKAMU wake Heche amefukuza viongozi wa CDM kama 55 kisa hawaungi mkono kususia uchaguzi
4. Makamu Heche amekataa kusaini kanuni za maadili za INEC. Hivyo chama kiko nje ya uchaguzi automatically
5. Msajili kasimamisha shughuli za CDM kwa sababu kuna kesi ya kugombea mali za CHADEMA
Wamechaguwa kushindwa .
 
View attachment 3446259
Kwenye link hii ya YouTube Jaji Warioba aliwaambia akina Lissu na CHADEMA kuwa madai yao kuhusu kuhusu kurekebisha mapungufu kwenye sheria/ Tume ya uchaguzi ni HALALI kabisa. Lakini aliwaqmbia kuwa HIWEZEKANI kuahirisha uchaguzi


View: https://youtu.be/E2J9Cx7Nt0U?si=8ZRqGpGkAbA9pr1Q

Siyo kweli Warioba hakusema hivyo tena Yeye na Butiku wamejaribu sana kuwasii ccm na mwenyekiti wao pamoja na msimamizi wa uchaguzi juu ya chadema kusikilizwa ili waingie kwenye uchaguzi, lakini walitolewa nje.
 
(Tundu & Heche) wamepewa madaraka tarehe 21/ 01/2025. Ndani ya miezi 4 yafuatayo yametokea:-
1. Mwenyekiti Tundu amepanga uasi ili kuzuia uchaguzi wa kikatiba wa Oktoba
2. Mwenyekiti Tundu ameshtakiwa kwa kosa la uhaini na yuko rumande Ukonga
3. MAKAMU wake Heche amefukuza viongozi wa CDM kama 55 kisa hawaungi mkono kususia uchaguzi
4. Makamu Heche amekataa kusaini kanuni za maadili za INEC. Hivyo chama kiko nje ya uchaguzi automatically
5. Msajili kasimamisha shughuli za CDM kwa sababu kuna kesi ya kugombea mali za CHADEMA
Siasa ni sayansi,hahahaaa!
 
(Tundu & Heche) wamepewa madaraka tarehe 21/ 01/2025. Ndani ya miezi 4 yafuatayo yametokea:-
1. Mwenyekiti Tundu amepanga uasi ili kuzuia uchaguzi wa kikatiba wa Oktoba
2. Mwenyekiti Tundu ameshtakiwa kwa kosa la uhaini na yuko rumande Ukonga
3. MAKAMU wake Heche amefukuza viongozi wa CDM kama 55 kisa hawaungi mkono kususia uchaguzi
4. Makamu Heche amekataa kusaini kanuni za maadili za INEC. Hivyo chama kiko nje ya uchaguzi automatically
5. Msajili kasimamisha shughuli za CDM kwa sababu kuna kesi ya kugombea mali za CHADEMA

Futungo, - NRNE!

Habari ndiyo hiyo.
 
(Tundu & Heche) wamepewa madaraka tarehe 21/ 01/2025. Ndani ya miezi 4 yafuatayo yametokea:-
1. Mwenyekiti Tundu amepanga uasi ili kuzuia uchaguzi wa kikatiba wa Oktoba
2. Mwenyekiti Tundu ameshtakiwa kwa kosa la uhaini na yuko rumande Ukonga
3. MAKAMU wake Heche amefukuza viongozi wa CDM kama 55 kisa hawaungi mkono kususia uchaguzi
4. Makamu Heche amekataa kusaini kanuni za maadili za INEC. Hivyo chama kiko nje ya uchaguzi automatically
5. Msajili kasimamisha shughuli za CDM kwa sababu kuna kesi ya kugombea mali za CHADEMA
Ndani ya miaka minne ya uongozi wa Samia yafuatayo yametokea
1. Kuongezeka kwa kasi kubwa sana utekaji na kupotezwa kwa watu
2. Rais kusapoti mauaji ya raia wake kama allykibao kwa Kusema kifo ni kifo tu
3. Kuwazuia waumini haki yao ya kikatiba ya kumuabudu Mungu
4. Kujipitisha kinyemela kua mgombea Urais, hivyo mpaka sasa huyo ni mgombea haramu
5. Kuuza Rasilimali za watanganyika ikiwemo bandari, misitu, viwanja vya ndege nk
6. Kuruhusu ufisadi mkubwa sana kwa muwaambia wale kwa urefu wa kamba yao
7. Kuwambikia wapinzani kesi za mchongo
8. Kubwa kuliko yote, Samia anamuogopa Lisu kuliko Israel mtoa roho
9. Ongezea na mengine
 
Huihui2 tukusaidieje sasa?

Ilionywa sawa, aliyewaonya anawaunga mkono kina nani mpaka muda huu..?

Je, anaunga mkono wahuni au wazalendo wa nchi hii..?
Yuko katikati. Anaunga mkono mabadiliko lakini hakubaliani kiahirisha uchaguzi kama Tundu alivyo taka. Na huo sasa ndiyo utu uzima wenye busara
 
Sasa kuzuia uchaguzi ni uhaini?.

Wangesubiri wakaona angeuzuiaje!

Huenda angeenda mahakamani na kujenga hoja nzito kuuzuia!
Yaani unasubiri mwizi aingie ndani ndiyo uchukue hatua? Wakati unaweza ukamdhibiti kabla hakaingia?
 
Back
Top Bottom