Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 8,964
- 13,465
Kwenye link hii ya YouTube Jaji Warioba aliwaambia akina Lissu na CHADEMA kuwa madai yao kuhusu kuhusu kurekebisha mapungufu kwenye sheria/ Tume ya uchaguzi ni HALALI kabisa. Lakini aliwaqmbia kuwa HIWEZEKANI kuahirisha uchaguzi
View: https://youtu.be/E2J9Cx7Nt0U?si=8ZRqGpGkAbA9pr1Q