Wervemarcel
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 2,390
- 3,293
Jaji mkuu mstaafu mtukufu Othman Chande alifanikiwa kumtembelea rais wa chama cha mawakili Tanganyika na mbunge wa singida mashariki Tundu lissu baada ya kunusurika katika shambulio la risasi mjini Dodoma siku chache zilizopita.
Pongezi kwako jaji kwa kuguswa na tukio la dunia nzima.
Huyo hapo chini akiwa na mke wa Lissu na mke wa Nassari.
"WHOEVER SHED A BLOOD OF MAN BY MAN HIS BLOOD WILL BE SHED " Genesis 9.
Pongezi kwako jaji kwa kuguswa na tukio la dunia nzima.
Huyo hapo chini akiwa na mke wa Lissu na mke wa Nassari.
"WHOEVER SHED A BLOOD OF MAN BY MAN HIS BLOOD WILL BE SHED " Genesis 9.