GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,016
- Thread starter
- #41
Jaji Bomani hawezi kupendekeza liundwe jopo hapohapo akisema uchaguzi urudiwe, angeacha jopo liamue.
Jopo gani mkuu
Wakati waangalizi wa kimataifa walikuwepo zanzibar na wamethibitisha kuwa uchaguzi ulikuwa huru na haki, na wanataka matokeo yakamishwe.