Mkiliman
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 983
- 340
Jiulize kwanza amestaafu lini kuwa jaji, pili kabla ya kuwa jaji alikuwa wapi na je hakuruhusiwa kuwa mwanachama wa CCM au chama chochote cha siasa, na tatu alipokuwa jaji aliendelea kuwa mwanchama wa CCM?
I am not sure if you were trying to answer my questions or you just added more questions to the persons concerned.
In any case, Tanzania's system of governance and likes is quiet complicating and too political.