jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,368
<br />kazi ipo,watabebana weeeeeeeeeeeeee,lakini mwisho wa siku ukweli utajulikana tu
<br />
mbeleko yenyewe imeshaoza, inakatika na aliyebebwa anaanguka. aliyebeba anasubiri adhabu.
<br />kazi ipo,watabebana weeeeeeeeeeeeee,lakini mwisho wa siku ukweli utajulikana tu
Kilemi mimi sishituki nikiona madudu anayofanya mzee wa watu CAG kwani niliyatarajia kulingana na aina ya serikali tulinayo. Infact mimi nilishtushwa tu siku alipokubali uteuzi wa CAG kwani nilijuwa fika kwamba Utoah tuliyekuwa tunayemfahamu wa NBAA hawezi kuwa the same Utoah kama CAG. Haiwezekani narudia tena HAIWEZEKANI MILELE NA MILELE ukatunza jina (to keep your name) kwenye fani na still ukawa mtumishi wa serikali ya Kikwete-this is completely impossible. So siku niliposikia amekubali uteuzi nikajua kwenye fani ya uhasibu/ukaguzi tumempoteza gwiji kwa kuwa kilichokuwa kikifuata sasa ni sanaa kwa kwenda mbele, mojawapo ni hii ya juzi ya jairo ambayo inathibitisha tu yale niliyotarajia.