Jairo la Kuvunda halina ubani

Jairo la Kuvunda halina ubani

kazi ipo,watabebana weeeeeeeeeeeeee,lakini mwisho wa siku ukweli utajulikana tu
<br />
<br />
mbeleko yenyewe imeshaoza, inakatika na aliyebebwa anaanguka. aliyebeba anasubiri adhabu.
 
Kamati teule imeanza kuwahoji mashahidi tangu jana. Tunaitaka ifanye kazi vizuri na itoe taarifa yake bila kumuonea mtu na iwe ya haki.
 
Kilemi mimi sishituki nikiona madudu anayofanya mzee wa watu CAG kwani niliyatarajia kulingana na aina ya serikali tulinayo. Infact mimi nilishtushwa tu siku alipokubali uteuzi wa CAG kwani nilijuwa fika kwamba Utoah tuliyekuwa tunayemfahamu wa NBAA hawezi kuwa the same Utoah kama CAG. Haiwezekani narudia tena HAIWEZEKANI MILELE NA MILELE ukatunza jina (to keep your name) kwenye fani na still ukawa mtumishi wa serikali ya Kikwete-this is completely impossible. So siku niliposikia amekubali uteuzi nikajua kwenye fani ya uhasibu/ukaguzi tumempoteza gwiji kwa kuwa kilichokuwa kikifuata sasa ni sanaa kwa kwenda mbele, mojawapo ni hii ya juzi ya jairo ambayo inathibitisha tu yale niliyotarajia.

Hapo penye red....100%
 
Itapendeza kama Baraza la kiswahili likikubali kupitisha MSAMIATI MPYA

JAIRO--Mtu yeyote anayechangisha pesa wakati wa bunge ili kuhonga wabunge wapitishe bajeti.
Nawasilisha
 
Nalipongeza gazeti hili kwa kufanya utafiti huu kwani usingewekwa hadharani kuna uwezekano wa tume kufichwa ukweli au kufinyanga taarifa ili kumsafisha. Kwa kweli vyombo vya habari

Pongezi kubwa sana vyombo vya habari kuibua haya waliyoendelea kuyaweka mafichoni ili kutuhadaa kwa kutakasana kwenye vyombo vya habari.
 
Back
Top Bottom