Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,573
- 164,442
Aliekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini,David Jairo, achukua form kugombea ubunge jimbo la Iramba Jimbo linaloshikiliwa na Mwigulu Nchemba kwa sasa.
Chanzo:TanzaniaDaima
Chanzo:TanzaniaDaima