Nsanzugwanko
Member
- Mar 28, 2015
- 66
- 15
mbona iko wazi sana , mtu aliyekuwa msaidizi wa kinana kulimwa na kamati ya maadili maana yake hafai , sema ndugu jairo kabla hajarudisha fomu atufafanulie ziliko zile hela alizochangisha .
Iramba ni ya Nchemba,kijana wa mabadiliko ni vitendo,tunaimani nae na ndo hadhina ya ccm miaka ijayo