komedi
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 204
- 17
DAWA YA UKIMWI
Kutokana na mwitikio wa wananchi kunywa dawa kule Loliondo na kule Tabora nimeona nitoe wazi siri ya 'ingredients' za dawa ya ukimwi.
chukua mirungi fungu mbili, twanga kwenye kinu mpaka upate uji uji, changanya na pombe ya gongo( ya papai) kikombe kimoja, changanya na kinyesi kibichi cha mtoto mchanga, ongezea na petroli vijiko sita, ongeza maji ya bahari vijiko viwili, tikisa mpaka povu litokee, weka kwenye jagi la lita moja, kisha ujambe juu yake....tikisa tena, halafu chukua bangi kavu, sokota kwenye karatasi ngumu ya khaki, washa halafu ukiamua kuvuta hiyo bangi mpaka usikie kizunguzungu.....duh bado mnasoma tu! kweli watu wagonjwa yaani unasubiri nikwambie unywe! Mie simooo!!!!!
Kutokana na mwitikio wa wananchi kunywa dawa kule Loliondo na kule Tabora nimeona nitoe wazi siri ya 'ingredients' za dawa ya ukimwi.
chukua mirungi fungu mbili, twanga kwenye kinu mpaka upate uji uji, changanya na pombe ya gongo( ya papai) kikombe kimoja, changanya na kinyesi kibichi cha mtoto mchanga, ongezea na petroli vijiko sita, ongeza maji ya bahari vijiko viwili, tikisa mpaka povu litokee, weka kwenye jagi la lita moja, kisha ujambe juu yake....tikisa tena, halafu chukua bangi kavu, sokota kwenye karatasi ngumu ya khaki, washa halafu ukiamua kuvuta hiyo bangi mpaka usikie kizunguzungu.....duh bado mnasoma tu! kweli watu wagonjwa yaani unasubiri nikwambie unywe! Mie simooo!!!!!