Jagi la dawa ya UKIMWI hili hapa

komedi

JF-Expert Member
Mar 6, 2011
204
17
DAWA YA UKIMWI


Kutokana na mwitikio wa wananchi kunywa dawa kule Loliondo na kule Tabora nimeona nitoe wazi siri ya 'ingredients' za dawa ya ukimwi.

chukua mirungi fungu mbili, twanga kwenye kinu mpaka upate uji uji, changanya na pombe ya gongo( ya papai) kikombe kimoja, changanya na kinyesi kibichi cha mtoto mchanga, ongezea na petroli vijiko sita, ongeza maji ya bahari vijiko viwili, tikisa mpaka povu litokee, weka kwenye jagi la lita moja, kisha ujambe juu yake....tikisa tena, halafu chukua bangi kavu, sokota kwenye karatasi ngumu ya khaki, washa halafu ukiamua kuvuta hiyo bangi mpaka usikie kizunguzungu.....duh bado mnasoma tu! kweli watu wagonjwa yaani unasubiri nikwambie unywe! Mie simooo!!!!!
 
DAWA YA UKIMWI


Kutokana na mwitikio wa wananchi kunywa dawa kule Loliondo na kule Tabora nimeona nitoe wazi siri ya 'ingredients' za dawa ya ukimwi.

chukua mirungi fungu mbili, twanga kwenye kinu mpaka upate uji uji, changanya na pombe ya gongo( ya papai) kikombe kimoja, changanya na kinyesi kibichi cha mtoto mchanga, ongezea na petroli vijiko sita, ongeza maji ya bahari vijiko viwili, tikisa mpaka povu litokee, weka kwenye jagi la lita moja, kisha ujambe juu yake....tikisa tena, halafu chukua bangi kavu, sokota kwenye karatasi ngumu ya khaki, washa halafu ukiamua kuvuta hiyo bangi mpaka usikie kizunguzungu.....duh bado mnasoma tu! kweli watu wagonjwa yaani unasubiri nikwambie unywe! Mie simooo!!!!!

Mweeee! We kweli komedi!!
 
DAWA YA UKIMWI


Kutokana na mwitikio wa wananchi kunywa dawa kule Loliondo na kule Tabora nimeona nitoe wazi siri ya 'ingredients' za dawa ya ukimwi.

chukua mirungi fungu mbili, twanga kwenye kinu mpaka upate uji uji, changanya na pombe ya gongo( ya papai) kikombe kimoja, changanya na kinyesi kibichi cha mtoto mchanga, ongezea na petroli vijiko sita, ongeza maji ya bahari vijiko viwili, tikisa mpaka povu litokee, weka kwenye jagi la lita moja, kisha ujambe juu yake....tikisa tena, halafu chukua bangi kavu, sokota kwenye karatasi ngumu ya khaki, washa halafu ukiamua kuvuta hiyo bangi mpaka usikie kizunguzungu.....duh bado mnasoma tu! kweli watu wagonjwa yaani unasubiri nikwambie unywe! Mie simooo!!!!!
Dah!mkuu hii iko poa sana ngoja nikachukue nyundo nikugongee bonge la thanx hahahahahhaaaa!!!
 
mkuu ze komedi...oopss komedi umeshtua cha arusha nini!!!
DAWA YA UKIMWI


Kutokana na mwitikio wa wananchi kunywa dawa kule Loliondo na kule Tabora nimeona nitoe wazi siri ya 'ingredients' za dawa ya ukimwi.

chukua mirungi fungu mbili, twanga kwenye kinu mpaka upate uji uji, changanya na pombe ya gongo( ya papai) kikombe kimoja, changanya na kinyesi kibichi cha mtoto mchanga, ongezea na petroli vijiko sita, ongeza maji ya bahari vijiko viwili, tikisa mpaka povu litokee, weka kwenye jagi la lita moja, kisha ujambe juu yake....tikisa tena, halafu chukua bangi kavu, sokota kwenye karatasi ngumu ya khaki, washa halafu ukiamua kuvuta hiyo bangi mpaka usikie kizunguzungu.....duh bado mnasoma tu! kweli watu wagonjwa yaani unasubiri nikwambie unywe! Mie simooo!!!!!
 
mkuu ze komedi...oopss komedi umeshtua cha arusha nini!!!

ba!ba! kumbe ile makitu ya AR unaiyanyaka arifu. Ile kitu ni noma kinyama chali angu. Ile ukipiga kifala inakula kwako fu...fulu yaani.
 
Back
Top Bottom