Jafo: Viongozi acheni tabia ya kuinua mabega, jeuri na kiburi kwani sisi wote tutaonja mauti!

Waziri wa Tamisemi mh Selemani Jaffo amewasihi viongozi wenzake kuacha tabia ya kuinua mabega kujitutumua, jeuri na kiburi kwani kila nafsi itaonja umauti.

Waziri Jaffo amesema hayo wakati wa mazishi ya mkuu wa mkoa mstaafu wa mkoa wa Kigoma hayati meja jenerali Maganga huko Mvomero mkoani Morogoro.

Jaffo alikuwa akielezea wasifu wa RC Maganga kwamba alikuwa ni mtu mnyenyekevu, asiye na majivuno na mwenye kuheshimu watu wengine bila kujali hadhi zao.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Zitarudi na kukaa sawa kwa wote.
 
Waziri wa Tamisemi mh Selemani Jaffo amewasihi viongozi wenzake kuacha tabia ya kuinua mabega kujitutumua, jeuri na kiburi kwani kila nafsi itaonja umauti.

Waziri Jaffo amesema hayo wakati wa mazishi ya mkuu wa mkoa mstaafu wa mkoa wa Kigoma hayati meja jenerali Maganga huko Mvomero mkoani Morogoro.

Jaffo alikuwa akielezea wasifu wa RC Maganga kwamba alikuwa ni mtu mnyenyekevu, asiye na majivuno na mwenye kuheshimu watu wengine bila kujali hadhi zao.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Hakua mnyenyekev huyo alikua jeuli na kiburi kwa wananch wa kigoma
 
Huyu Mwalim Mkuu wa Shule ya sekondari Dodoma alikubali kumpokea mwanafunzi mmoja aliyetoka Mkoa wa Katavi baada ya kukamilisha taratibu zote za uhamisho na hadi kupitia TAMISEMI amekuja baadae kusema hamkubali na hamtaki huyo mwanafunzi bila ya sababu ya msingi pamoja na kuwa ametumia gharama nyingi sana za kutoka Dodoma hadi huko Katavi kwenda na kurudi mpaka kufanikisha jambo la uhamisho wa mwanafunzi huyo mwisho wake anamkataa kuwa hamtaki, swali langu hii shule ya Dodoma sekondari ni ya mtu binafsi au serkali? na kama ya serikali hawaoni manyanyaso ya Mkuu huyu wa shule ya sekondari kwa Waalim ,wazazi na wanafunzi sasa tumechoka tunaomba Mheshimiwa Rais aingilie kati maana amezidi.
Amefungua duka la kuuza bidhaa ambazo wanafunzi wanazileta kila mwaka hapo shuleni mfano kwanja na majembe , ukiingia tu form one lazima uje na kwa na jembe aulizwe hayo majembe na makwaja ya miaka ya nyuma yako wapi maana huu ni wizi kubwa sana. Na hatutachoka tutadeal na masuala yake haya mpaka Mhe. Rais asikie kilio chetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom