johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,585
- 142,884
Waziri wa Tamisemi mh Selemani Jaffo amewasihi viongozi wenzake kuacha tabia ya kuinua mabega kujitutumua, jeuri na kiburi kwani kila nafsi itaonja umauti.
Waziri Jaffo amesema hayo wakati wa mazishi ya mkuu wa mkoa mstaafu wa mkoa wa Kigoma hayati meja jenerali Maganga huko Mvomero mkoani Morogoro.
Jaffo alikuwa akielezea wasifu wa RC Maganga kwamba alikuwa ni mtu mnyenyekevu, asiye na majivuno na mwenye kuheshimu watu wengine bila kujali hadhi zao.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Waziri Jaffo amesema hayo wakati wa mazishi ya mkuu wa mkoa mstaafu wa mkoa wa Kigoma hayati meja jenerali Maganga huko Mvomero mkoani Morogoro.
Jaffo alikuwa akielezea wasifu wa RC Maganga kwamba alikuwa ni mtu mnyenyekevu, asiye na majivuno na mwenye kuheshimu watu wengine bila kujali hadhi zao.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!