johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,932
- 141,896
Serikali imewataka viongozi wa dini kuhubiri amani bila kuchoka wakati huu tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu.
Waziri wa Tamisemi mh Jaffo akizungumza na viongozi wa BAKWATA jijini Dodoma amesema hakuna kitu muhimu kwa binadamu kama familia yake hivyo amewaasa wananchi kuizingatia Amani kwasababu Amani haina mbadala.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Waziri wa Tamisemi mh Jaffo akizungumza na viongozi wa BAKWATA jijini Dodoma amesema hakuna kitu muhimu kwa binadamu kama familia yake hivyo amewaasa wananchi kuizingatia Amani kwasababu Amani haina mbadala.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!