Jackton Manyerere: Tusiangalie "makandokando" ya NEC bali tumpe ushirikiano Rais Magufuli kwa nia njema aliyonayo kwa taifa hili

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,957
141,949
Mwandishi wa habari nguli nchini ambaye pia aligombea ubunge jimboni kwa baba wa taifa huko Butiama Jackton Manyerere amewataka watanzania kumpa ushirikiano wa kutosha Rais Magufuli.

Akizungumza kwenye kipindi cha Kipima Joto runingani ITV Manyerere amewataka watanzania kutoangalia makandokando ya NEC bali waiangalie nia njema ya Rais Magufuli na kumpa ushirikiano ili tulete maendeleo kwa kasi.

Chanzo: ITV

Maendeleo hayana vyama!
 
Mwandishi wa habari nguli nchini ambaye pia aligombea ubunge jimboni kwa baba wa taifa huko Butiama Jackton Manyerere amewataka watanzania kumpa ushirikiano wa kutosha Rais Magufuli.

Akizungumza kwenye kipindi cha Kipima Joto runingani ITV Manyerere amewataka watanzania kutoangalia makandokando ya NEC bali waiangalie nia njema ya Rais Magufuli na kumpa ushirikiano ili tulete maendeleo kwa kasi.

Source ITV

Maendeleo hayana vyama!
Tatizo nec wameboronga Sana, na wenda hata kwa uchaguzi huru Kama wa USA angeweza shida hata kwa kura kidogo Sana, Sasa hii tabia ya watu kuingilia uchaguzi na kuharibu kabisa taswila ya kiongozi aliechaguliwa isipo koma ,ni hatari Sana maana Kila atakae ingia kwenye nafasi atakubali Mambo Kama haya.

Sasa hona wananchi wanakosa Imani na viongozi wao ,leo unaanzia wapi kutoa utetezi wakati watu wamenuna mioyoni mwao, ushirikiano na kiongozi yoyote unatengezezwa na huwezi ulazimisha,

Mfano mwl nyerere alitengeneza kweli kweli na ndo maana hata ule mshikamano wa Kila mwananchi katika kumuondoa idd amin dada ulifanikiwa kwa ushirikiano mkubwa na wananchi
 
Wanaweza kufanya waliyofanya bila maagizo kutoka juu? Usiwe mbumbumbu ama kujifanya kuwa hivyo.
Usipende unachofikilia niandike mie mbumbubu maana yake nini? Hata Kama ni hivyo why wayapokee wakati katiba imewapa mamlaka, ? Jambo Kama hulikubali si unajiuzuru,hata Kama umepewa maagizo,
 
Hiyo ni idara muhimu sana ,amani ya nchi inaweza kutopotea kwa kupitia kwenye milango ya uchaguzi.

Siku hizi watu wakienda kwenye TV wanaulizwa utazungumza nini.Kama angeenda kwa ajili ya kukosoa siajabu angetimuliwa.
 
Ok labda 2025 watachukuwa ushauri wako wa kujiuzuru.
Punguza hasira mkuu wachukue ushauri wangu Mimi ndo nilewateuwa?na ushauringu kujiuzuru fika 2025 utasaidia nini Kama hawakuweza jiuzuru mwazo ,
Niseme tu kabla ya kucrush mtu Soma nini kaandika ,then tafakari and then crush kwa logic ,sio tumia hasira
 
Back
Top Bottom