Jabir Idrissa , Mwandishi bora wa siasa za Zanzibar

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
127,873
244,430
Wakuu natanguliza salamu , naomba nikiri wazi kabisa kwamba mimi ni msomaji wa makala za huyu mwandishi nguli.

simfahamu wala hanifahamu lakini mtakubaliana na mimi kwamba makala zake zimeifahamisha dunia kuhusiana na siasa za Zanzibar,

iko haja ya kuwatambua waandishi mashujaa wasioogopa vitisho na wasiomung'unya maneno kama huyu , kwa kuwaandalia TUZO MAALUM za heshima kama shukrani kwa mchango wao uliotukuka .

Hongera sana Jabir Idrissa kazi zako zimeonekana .
 
Kama makala zake zishawagusa huko nje basi huenda akakumbukwa kwenye tuzo za kimataifa kama zile za CNN Multichoice african journalist of the year.
 
Zanzibar imewahi kutoa Mwandishi bora zaid Hayati Ndugu Ally Nabwa! KutoKana na kukosoa Siasa as Watawala wakati wa Dr.Salmeen Amour na Mwanzon kwa Utawala wa Huyu AMANI KARUME. Jamaa alisumbua sana watawala akavuliwa Uraia kwa kigezo kuwa hata Baba yake Mzazi alikuwa si Raia wa Zanzibar! akaenda Mahakamni akashinda baada ya kuthibitisha Uraia wa Baba yake Watawala hawakufurahi kabisa ikabidi waanzishe Mchakato wa kumvua Uraia Baba yake Mzazi japo alishakuwa KABURINI miongo kadhaa baadae wakaja kumvua H Uraia walifanikiwa. Walim stress mpaka ukawa moja ya sababu as Umauti wake akifa akiwa kavuliwa Uraia wake kwa utashi tu wa watu fulani.
Tofauti yake na Jaber Idrissa ni Ushabiki Marehemu Ally Nabwa kwake akosee Maalim akosee Karume yeye anakulipua tu. Huyu Majed anamzidi Bosi wake mwenye Elimu ya kutetea Shanga na Chupi za Wabunge sema tatizo lake yupo kama Ally Salehe alikuwa Mwandish wa BBC mwenye Ushabiki na hatimae ameingia Rasmi kwenye Siasa za CUF.
Ili uwe Mwandishi Nguli usiegemeee kuandika upande mmoja wa Siasa pekee
 
Anatetea haki za wanyonge zanzibar .mungu ampe maisha marefu .never turn back .usiogope vibinadamu vitakavokufa siku moja
 
Zanzibar imewahi kutoa Mwandishi bora zaid Hayati Ndugu Ally Nabwa! KutoKana na kukosoa Siasa as Watawala wakati wa Dr.Salmeen Amour na Mwanzon kwa Utawala wa Huyu AMANI KARUME. Jamaa alisumbua sana watawala akavuliwa Uraia kwa kigezo kuwa hata Baba yake Mzazi alikuwa si Raia wa Zanzibar! akaenda Mahakamni akashinda baada ya kuthibitisha Uraia wa Baba yake Watawala hawakufurahi kabisa ikabidi waanzishe Mchakato wa kumvua Uraia Baba yake Mzazi japo alishakuwa KABURINI miongo kadhaa baadae wakaja kumvua H Uraia walifanikiwa. Walim stress mpaka ukawa moja ya sababu as Umauti wake akifa akiwa kavuliwa Uraia wake kwa utashi tu wa watu fulani.
Tofauti yake na Jaber Idrissa ni Ushabiki Marehemu Ally Nabwa kwake akosee Maalim akosee Karume yeye anakulipua tu. Huyu Majed anamzidi Bosi wake mwenye Elimu ya kutetea Shanga na Chupi za Wabunge sema tatizo lake yupo kama Ally Salehe alikuwa Mwandish wa BBC mwenye Ushabiki na hatimae ameingia Rasmi kwenye Siasa za CUF.
Ili uwe Mwandishi Nguli usiegemeee kuandika upande mmoja wa Siasa pekee
jabir idrissa wamuonaje ?
 
Zanzibar imewahi kutoa Mwandishi bora zaid Hayati Ndugu Ally Nabwa! KutoKana na kukosoa Siasa as Watawala wakati wa Dr.Salmeen Amour na Mwanzon kwa Utawala wa Huyu AMANI KARUME. Jamaa alisumbua sana watawala akavuliwa Uraia kwa kigezo kuwa hata Baba yake Mzazi alikuwa si Raia wa Zanzibar! akaenda Mahakamni akashinda baada ya kuthibitisha Uraia wa Baba yake Watawala hawakufurahi kabisa ikabidi waanzishe Mchakato wa kumvua Uraia Baba yake Mzazi japo alishakuwa KABURINI miongo kadhaa baadae wakaja kumvua H Uraia walifanikiwa. Walim stress mpaka ukawa moja ya sababu as Umauti wake akifa akiwa kavuliwa Uraia wake kwa utashi tu wa watu fulani.
Tofauti yake na Jaber Idrissa ni Ushabiki Marehemu Ally Nabwa kwake akosee Maalim akosee Karume yeye anakulipua tu. Huyu Majed anamzidi Bosi wake mwenye Elimu ya kutetea Shanga na Chupi za Wabunge sema tatizo lake yupo kama Ally Salehe alikuwa Mwandish wa BBC mwenye Ushabiki na hatimae ameingia Rasmi kwenye Siasa za CUF.
Ili uwe Mwandishi Nguli usiegemeee kuandika upande mmoja wa Siasa pekee
Cha msingi ni kuegemea penye haki na ukweli tu hata kama ni upande mmoja .
 
Anatetea haki za wanyonge zanzibar .mungu ampe maisha marefu .never turn back .usiogope vibinadamu vitakavokufa siku moja
kuna haja sasa kwa jf na wadau wake kutambua waandishi wa habari mahiri kama huyu jabiri idrissa na kuwakabidhi tuzo za heshima .
 
Cha msingi ni kuegemea penye haki na ukweli tu hata kama ni upande mmoja .

Huo ni Uanaharakati sio Uhariri au Uandishi wa Habari!Hoja ingekuwa uanaharakati hata mie ningeunga mkono hoja lakin tunajadili Quality za uhariri kwa Jaber Idrissa!
 
Huo ni Uanaharakati sio Uhariri au Uandishi wa Habari!Hoja ingekuwa uanaharakati hata mie ningeunga mkono hoja lakin tunajadili Quality za uhariri kwa Jaber Idrissa!
kwako quality ni kuhakikisha ccm inaandikwa kwa mazuri wakati inatenda mabaya ? uandishi mzuri ni kuandika ukweli , achana na bahasha za khaki mkuu , mfuatilie huyu jamaa tangu uhuru na mzalendo , sikuandika kwa kukurupuka .
 
Wewe unazijua siasa za MTAMA na Methew... kama jabil mwandishi mzuri kwako...Ahmed Rajab utamuweka wapi
 
Wewe unazijua siasa za MTAMA na Methew... kama jabil mwandishi mzuri kwako...Ahmed Rajab utamuweka wapi
mimi mtanzania mwenzio unanishangaa kuijua mtama ? usifanye hivyo mkuu kosa langu liko wapi ? kama ni tuzo huyo Ahmed Rajab wako aje tu tutampa .
 
mimi mtanzania mwenzio unanishangaa kuijua mtama ? usifanye hivyo mkuu kosa langu liko wapi ? kama ni tuzo huyo Ahmed Rajab wako aje tu tutampa .
Jabiri Idrisa Maandiko yako ni kama strory za paukwa pakawa na hazina tofauti kama zile strory tunazozisikia kila siku katika vijiwe vya kawahawa au maskani ya vyama vya siasa.. kwanza siyo critical thinker anaandika maada as an opinion lakini ukisoma maada imeandikwa as if ni "reporter" na uchambuzi wake wa mambo ni hearsay with little subsatance.....Kusema kweli Makala zake ni full rambling.
Na inaonyesha sijui amekutuma kumpigia dembe kwani kwenye thread hii more than 50% ya post ni zako...Keep posting ili iendelee kubakia katika front page once ukiacha ku post hii thread itasahaulika.
 
Back
Top Bottom