Dunia ya sasa ni vigumu sana kumchagulia mtu sehemu anayohitaji kupata huduma. Huu ni ulimwengu wa kibepari, mteja anafuata panapomfaa. Pamoja na hayo Mh. Malecela ni mmoja wa mawaziri wakuu wastaafu, nadhani ana stahili anazopokea ambazo zinamwezesha kutibiwa nje