Crocozilla
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 469
- 335
Kwa siku za karibuni vyombo mbali mbali vya habari vinaripot sana habari za watu mbalimbali kujitangaza au kusimulia nia yao ya kuwania nafasi ya urais na hatimae kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Wote tunatambua nafasi ya urais ndo nafasi ya juu kabisa katika uongozi wa taifa letu. Naomba nisiwachoshe na maneno mengi kwani wanajf ni waelewa sana......
Je Watanzania tunataka kumpa January Makamba urais au urahisi wa maisha?
Je kiongozi wa juu kwa kiwango cha rais ni yule anayetaka hiyo nafasi au yule anayetakiwa na wananchi?
Je kwa nchi yenye watu zaidi ya 48m tunakosa mtu mmoja tu mwenye akili, muwazi, mpenda nchi na wananchi na asiyependa makuu tumtake sisi na siyo yeye atake urais?
Je rekodi yake kimasomo imekaaje maana elimu ina umuhimu wake kuongoza japo si lazima ila ni muhimu sana!
Je tunaona aibu kumchukua mtu msomi kama Mwakyembe na kumpa urais walau kwa ule udhubutu alioonyesha anaweza kuonyesha makubwa akipewa nafasi?
Je Makamba anaweza kuja hapa akasema ataifanyia nini Tanzania kabla hata hajahitaka Tanzania impe urais?
Je Makamba anaweza kusema kwa muda aliokaa serikalini alishawahi kuisaidia nini nchi yetu ikatoka sehemu moja na kufika pengine?
Nk, nk, nk...
Changia kwa manufaa ya nchi siyo kwa manufaa ya chama chochote. Matusi utoka kifuani mwa --------.... Je wewe nawe
!!!
Wote tunatambua nafasi ya urais ndo nafasi ya juu kabisa katika uongozi wa taifa letu. Naomba nisiwachoshe na maneno mengi kwani wanajf ni waelewa sana......
Je Watanzania tunataka kumpa January Makamba urais au urahisi wa maisha?
Je kiongozi wa juu kwa kiwango cha rais ni yule anayetaka hiyo nafasi au yule anayetakiwa na wananchi?
Je kwa nchi yenye watu zaidi ya 48m tunakosa mtu mmoja tu mwenye akili, muwazi, mpenda nchi na wananchi na asiyependa makuu tumtake sisi na siyo yeye atake urais?
Je rekodi yake kimasomo imekaaje maana elimu ina umuhimu wake kuongoza japo si lazima ila ni muhimu sana!
Je tunaona aibu kumchukua mtu msomi kama Mwakyembe na kumpa urais walau kwa ule udhubutu alioonyesha anaweza kuonyesha makubwa akipewa nafasi?
Je Makamba anaweza kuja hapa akasema ataifanyia nini Tanzania kabla hata hajahitaka Tanzania impe urais?
Je Makamba anaweza kusema kwa muda aliokaa serikalini alishawahi kuisaidia nini nchi yetu ikatoka sehemu moja na kufika pengine?
Nk, nk, nk...
Changia kwa manufaa ya nchi siyo kwa manufaa ya chama chochote. Matusi utoka kifuani mwa --------.... Je wewe nawe
!!!