J COLE na mzigo "KOD"

J COLE na mzigo "KOD"

Walid Mchimae

Member
Joined
Mar 25, 2018
Posts
12
Reaction score
5
Moja ya album bora kabisa za Hip Hop mbaka sasa kwa mwaka 2018. Production on point & carefully structured. Cole na flow ya hatari ndani ya mzigo huu mpya huku akiwa Na maudhui ya hatari ikiwa pamoja na kuendelea kutetea nafasi ya mtu mweusi ktk jamii..

He crucified all the new wave rappers on 1985.. Ukitoa Victory Lap ya Nipsey Hussle nadhani hii KOD ni ya pili kwa ubora mpaka sasa kwa mwaka 2018. ColeWorld
IMG_1872.JPG
 
Moja ya album kali kabisa za Hip Hop kwa mwaka 2018 mpaka sasa. Production on point and carefully structured. Cole na flow za hatari ndani ya mzigo huu matata. Ngoma Kama 'Once an addict' 'ATM' na 1985 zinafanya mzigo huu usimame ipasavyo.

He crucified all the new wave rappers on 1985. Nadhani ukiitoa album ya Nipsey Hussle "Victory Lap" iliyotoka mapema mwaka huu basi huu mzigo ni wapili kwa ubora mpaka sasa. Cole World.
IMG_1872.JPG
 
Back
Top Bottom